Ni rushwa ndiyo iliyoifanya CCM iwe nzuri
Ni rushwa ndiyo ilikuwa inaipamba CCM ionekane ni tamu inapendeza
Ni rushwa ndiyo iliyokuwa inafanya matajiri waikimbilie, wagombee ubunge n.k
Ni rushwa ndiyo iliyomwezesha Mohamed Dewji aliyekuwa mbunge wa Singida mjini apate ubunge huo apige deal...
Mateja wengi a.k.a wabwiya unga, watumiaji wa madawa ya kulevya ni wachafu, hawaogi, nguo zao chafu, nywele zao zimekaa ovo ovyo tu. Je! kuna uhusiano wowote wa kuwa jeja na kutokuoga.
Sisi ni wanaharakati Fulani tunataka kujua kama kuna uhusiano, kama hakuna tuanze kuwakamata na kuwaogesha.
Siku chache baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kutoa agizo la msako wa nyumba hadi nyumba ili kuwabaini watu wasio na kazi maalum, Meya wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita aliibuka na kudai agizo hilo ni batili na haliwezi kutekelezeka kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu...
Je anaweza kuzungumza lugha ya ya mama, anaweza kutema mayai kama Josephat Mfumukeko? Lugha inapanda vizuri maana kule hakuna Kiswahili mzee , mambo ya akili za kuambiwa changanya na zako kule hamna ni kutema mayayi tu kwenda mbele
Huyu DOCTOR Mwaka mbona alikuwa kama medical doctor badala ya kuwa wa tiba mbadala, si mumeona alikuwa anavaa stetoscope shingoni? je! huyo ni wa tiba mbadala kweli?
Jina la kwanza na pili hayawezi kubadilika kwa vyovyote vile, jina la tatu laweza kubadilika sasa ukichunguza vyeti unaweza kukuta majina ya vyeti vyote hivi viwili yako tofauti mzee.
Aliyesema ati mafisadi CHADEMA watakuwa na hali mbaya ni mpumbufu kupindukia kwani yule mhindi aliyekamatwa na sukari Dodoma akaenda kuvaa manguo ya kijani ya CCM alikuwa ni CHADEMA?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.