Ushauri wa namna ya kuwapata wanaotumia vyeti vya watu wengine makazini

msweken

JF-Expert Member
Nov 8, 2011
441
1,714
Mimi binafsi nimefurahishwa sana na zoezi zima la uhakiki wa vyeti. Najua ni rahisi sana kuwabaini wenye vyeti feki kwa kutumia vifaa ambavyo vinapatikana Baraza la mitihani, uhakiki huu kwa kiasi fulani utarudisha heshima kwa wale walio tolea jasho vyeti vyao dhidi ya wale wahaini wa elimu ambao wamekua wakidhoofisha maendeleo ya Nchi hii kwakua hawana sifa stahiki za kutumikia nafasi walizo nazo.

Ugumu upo katika kuwapata wale wanaotumia vyeti vya ndugu zao, ama walio hai wakifanya kazi katika taasisi binafsi, ama ndugu zao ambao teyari wameshatangulia mbele za haki, sisi wananchi tunawajua kiundani kuliko ambavyo wao wenyewe wanadhani.

TAFADHALI SANA TUWEKEWE NAMBA AMBAYO TUNAWEZA KUTUMA UJUMBE ILI KUWATAJA, hii itarahisishia vyombo husika kuwapata wale wote wanaotumia vyeti visivyo vyao.

TUMEITAKA WENYEWE, WACHA TUISOME NAMBA WOTE.
 
Mimi binafsi nimefurahishwa sana na zoezi zima la uhakiki wa vyeti. Najua ni rahisi sana kuwabaini wenye vyeti feki kwa kutumia vifaa ambavyo vinapatikana Baraza la mitihani, uhakiki huu kwa kiasi fulani utarudisha heshima kwa wale walio tolea jasho vyeti vyao dhidi ya wale wahaini wa elimu ambao wamekua wakidhoofisha maendeleo ya Nchi hii kwakua hawana sifa stahiki za kutumikia nafasi walizo nazo.

Ugumu upo katika kuwapata wale wanaotumia vyeti vya ndugu zao, ama walio hai wakifanya kazi katika taasisi binafsi, ama ndugu zao ambao teyari wameshatangulia mbele za haki, sisi wananchi tunawajua kiundani kuliko ambavyo wao wenyewe wanadhani.

TAFADHALI SANA TUWEKEWE NAMBA AMBAYO TUNAWEZA KUTUMA UJUMBE ILI KUWATAJA, hii itarahisishia vyombo husika kuwapata wale wote wanaotumia vyeti visivyo vyao.

TUMEITAKA WENYEWE, WACHA TUISOME NAMBA WOTE.
Wala sio vvigumu kuwapata ...
Jina: Chacha
Kabila: Mhaya

Hivi huyu kuna haja ya kuuliza kweli huyu?
 
Wala sio vvigumu kuwapata ...
Jina: Chacha
Kabila: Mhaya

Hivi huyu kuna haja ya kuuliza kweli huyu?
Nomaaa sana, kuna ticha Wang alikuwa anasema mtu unaweza nunua jina la mtu uko mikoan kwa wenye vitengo, jina ambalo tayari limefanya mtihan wa two na ukalitumie kuendelea mbele mpk chuo
 
Binafsi kuna jamaa anatumia cheti changu cha form four, nilipo kwenda form five nikafanya uzembe kukifatilia - baadae nikakutana na Headnaster mjini akanambia mbona uji kuchukua cheti chako, nika mjibu ntakuja - si kwenda!

Baadae kabisa ndio nikakata shauri kukifuata shuleni - nilipo fika tu Headmaster kacheck kwenye drawers akikuonekana akasema nimpe muda atakitafuta - sikukipata mpaka leo.

Siku moja nilikuwa na google ndiyo nikakutana na jina langu lote mwanzo katikati na mwisho mtu mwenyewe yuko Morogoro na kwa bahati nzuri jina la baba yangu aliko common kwa kabila letu liko confined kwa family ya baba yangu tu mkoa wote wa Kagera, kwa hiyo nikajua jamaa huyu alitumua cheti changu kwa aidha kutafutia kazi au kujiunga na vyuo na kwa kuwa kilikuwa na matokeo mazuri ya O-Level kilimsadia sana kupenya. Mpaka sasa natafakari sijui nimchukulie hatua gani?
 
Nomaaa sana, kuna ticha Wang alikuwa anasema mtu unaweza nunua jina la mtu uko mikoan kwa wenye vitengo, jina ambalo tayari limefanya mtihan wa two na ukalitumie kuendelea mbele mpk chuo
Hao ni wengi sana, enzi za miaka ya 90 kurudi nyuma wanafunzi walipokuwa wanafail walirudia kwa majina ya wanafunzi watoro na kuendelea kutumia majina hayo hadi sasa.
Sioni kama kuna tatizo wa hao walofanya hivyo, tatizo ni kwa wale ambao hawakusoma kabisa lakini wana vyeti vya kutengeneza mitaani au wanatumia vyeti vya ndugu zao / rafiki zao.
 
Binafsi kuna jamaa anatumia cheti changu cha form four, nilipo kwenda form five nikafanya uzembe kukifatilia - baadae nikakutana na Headnaster mjini akanambia mbona uji kuchukua cheti chako, nika mjibu ntakuja - si kwenda!

Baadae kabisa ndio nikakata shauri kukifuata shuleni - nilipo fika tu Headmaster kacheck kwenye drawers akikuonekana akasema nimpe muda atakitafuta - sikukipata mpaka leo.

Siku moja nilikuwa na google ndiyo nikakutana na jina langu lote mwanzo katikati na mwisho mtu mwenyewe yuko Morogoro na kwa bahati nzuri jina la baba yangu aliko common kwa kabila letu liko confined kwa family ya baba yangu tu mkoa wote wa Kagera, kwa hiyo nikajua jamaa huyu alitumua cheti changu kwa aidha kutafutia kazi au kujiunga na vyuo na kwa kuwa kilikuwa na matokeo mazuri ya O-Level kilimsadia sana kupenya. Mpaka sasa natafakari sijui nimchukulie hatua gani?

Hauko peke yako katika hili, kuna watu wengi sana wamekutwa na masahibu kama hayo, kwa bahati mbaya hakuna mahali pa kuyasemea, Nchi ilijaa ubabaishaji mwingi kuliko kawaida, tuwekewe namba ya simu ya kutuma ujumbe kwa ajili ya kuwataja.
 
Kabla ya ku
Mimi ninamjua mbunge mmoja ana degree ya Master ambayo ni fake
kuwataja naomba waliojiendeleza wakiwa kazini sawa Na waraka namba 9 Wa 2003 watambuliwe
Sheria ya Recategorazation ni mbovu kandamizi imevunja moyo watumishi wengi Na kuamua kubaki Na vyeo vyao vya elimu mdogo vyenye Mishahara mikubwa kuliko degree. Wasiojiendeleza Kielimu makazini Wanawacheka! Wakisema mmepoteza Muda kujiendeleza. Najua Rais wetu muajiri mkuu anatambua Na kuthamini wasomi. Please Recategorazation sheria isiachwe Iue Talents na ndoto za watumishi!
 
Binafsi kuna jamaa anatumia cheti changu cha form four, nilipo kwenda form five nikafanya uzembe kukifatilia - baadae nikakutana na Headnaster mjini akanambia mbona uji kuchukua cheti chako, nika mjibu ntakuja - si kwenda!

Baadae kabisa ndio nikakata shauri kukifuata shuleni - nilipo fika tu Headmaster kacheck kwenye drawers akikuonekana akasema nimpe muda atakitafuta - sikukipata mpaka leo.

Siku moja nilikuwa na google ndiyo nikakutana na jina langu lote mwanzo katikati na mwisho mtu mwenyewe yuko Morogoro na kwa bahati nzuri jina la baba yangu aliko common kwa kabila letu liko confined kwa family ya baba yangu tu mkoa wote wa Kagera, kwa hiyo nikajua jamaa huyu alitumua cheti changu kwa aidha kutafutia kazi au kujiunga na vyuo na kwa kuwa kilikuwa na matokeo mazuri ya O-Level kilimsadia sana kupenya. Mpaka sasa natafakari sijui nimchukulie hatua gani?
Sasa subiri afe ili wewe ndio uonekane mwizi.
 
Mimi binafsi nimefurahishwa sana na zoezi zima la uhakiki wa vyeti. Najua ni rahisi sana kuwabaini wenye vyeti feki kwa kutumia vifaa ambavyo vinapatikana Baraza la mitihani, uhakiki huu kwa kiasi fulani utarudisha heshima kwa wale walio tolea jasho vyeti vyao dhidi ya wale wahaini wa elimu ambao wamekua wakidhoofisha maendeleo ya Nchi hii kwakua hawana sifa stahiki za kutumikia nafasi walizo nazo.

Ugumu upo katika kuwapata wale wanaotumia vyeti vya ndugu zao, ama walio hai wakifanya kazi katika taasisi binafsi, ama ndugu zao ambao teyari wameshatangulia mbele za haki, sisi wananchi tunawajua kiundani kuliko ambavyo wao wenyewe wanadhani.

TAFADHALI SANA TUWEKEWE NAMBA AMBAYO TUNAWEZA KUTUMA UJUMBE ILI KUWATAJA, hii itarahisishia vyombo husika kuwapata wale wote wanaotumia vyeti visivyo vyao.

TUMEITAKA WENYEWE, WACHA TUISOME NAMBA WOTE.
na imani wahusika wameliona na watalifanyia kazi
 
Back
Top Bottom