Hii account mbona inaonekana iko "active"? Huyu mkuu yupo anatuchora tuu. Yawezekana ndio huyu mkuu aloanzisha hii thread. Multiple IDs maybe ...but sijui cz sina uhakika. Mkuu Joseverest njoo u clear hizi myth hapa.
Larkspur
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kupanga ni "kuchagua." Kama VX-V8 zinafikia hadi 200M na Ventilator moja ni around 5OM si kwa kila VX-V8 moja tungepata ventilators 4? Je kuna hizi V8 ngapi hawa viongozi wetu wanatamba nazo barabarani?
Kwanini wasione haja ya kupunguza gharama hizo na kuamua kusave lives za watu...
Mkuu bora tu ujitulize nyumbani km unaona barakoa inakuletea shida. Otherwise hutazikwa na ndugu zako. Jikinge na uwakinge wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumezidisha dhambi hasa za kujifanya wacha Mungu kumbe tuna madudu mengi tunayafanya nyuma ya pazia. Uzuri ni kuwa tukiomba tutasamehewa (kama ambavyo tulifanya maombi kwa nchi nzima) wasiwasi wangu je, tulifanya kwa imani thabiti?
Sent using Jamii Forums mobile app
Chief sidhani sana kama dua za wazandiki wachache kama hawa zinaweza kulihatarisha taifa la watu over 60M. Nadhani kuna sehemu tumeteleza tunahitaji kutubu. Mungu atuhurumie tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.