Public Enemy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2011
- 2,897
- 3,242
Mkuu huu uzi upo jukwaa la tech. Kwahiyo sidhani kama kuna mtu anapotea au anategemea kukuta kitu tofauti na maswala ya techs.basi ungebadilisha title, maana ipo misleading
Mkuu huu uzi upo jukwaa la tech. Kwahiyo sidhani kama kuna mtu anapotea au anategemea kukuta kitu tofauti na maswala ya techs.basi ungebadilisha title, maana ipo misleading
nilipofungua ulikua kwenye new posts, natumia jamiiforums app, haionyeshi uzi upo jukwaa ganiMkuu huu uzi upo jukwaa la tech. Kwahiyo sidhani kama kuna mtu anapotea au anategemea kukuta kitu tofauti na maswala ya techs.
me ninazo ila ni idm version gan?wakuu nna shida na codes za kuicrack IDM, Inaniambia zimebaki siku nane,nadhan kuna mtu alitaka kuiupdate
Safi sana mkuuHabari wakuu,
Kutokana na jukwaa letu kuwa na mada nyingi nzuri japo nyingine za muda kidogo, mada maalum zinazoelezea matatizo ya kitu fulani lakini hazionekani kirahisi na kadhalika nimeomba hii iwe sticky na itabeba links ya mada zote muhimu za jukwaa hili ili kutojaza kurasa ya kwanza na stickies..
Pia kama una mada uliipenda na ungependa wengine wawe wanakutana nayo kirahisi waweza comment kwenye thread hii na mimi nitaiweka.
Mwisho, ili kupunguza mada nyingi zisizojitosheleza kwa watu kuomba misaada ningependekeza kwa pamoja tuanzishe mada kubwa(au kupendekeza zilizopo) hasa za brand kubwa za simu maana misaada mingi ipo hapo. Naamini kwa pamoja tunaweza kufanya jukwaa letu kuwa rafiki na zuri zaidi na kwa kuanza nimeanza kwa kutafuta mada kadhaa hapo chini ili wengine kuweka wanazokumbuka.
Kwa heshima napenda kuwaita Chief-Mkwawa Njunwa Wamavoko snipa Mwl.RCT Paje Nyasiro kadoda11 na wengineo wengi..
Asanteni..
=======
TELEVISHENI NA VING'AMUZI
Elimu ya bure kuhusu Azam TV
Ulimwengu wa FTA Satellite TVs
Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)
Flat Screen: Muongozo kabla hujaenda kununua TV
Kwa maoni yako: King'amuzi gani ni bora hapa Tanzania?
INTERNET
Je! mtandao ukiwa na download speed kubwa ndio mzuri?
Direct links mega thread x2x0x1x5x
Jifunze hatua kwa hatua; Namna ya kushusha video za Youtube bure
SIMU NA TABLETS
Tushirikishane 'Apps' nzuri za Android
Jinsi ya ku root simu yako ya Android
Unayotakiwa kuyajua kuhusu battery, chaja za simu na tablet
Jinsi ya kutambua processor ya simu na kuijua simu fake(android)
Android Phone without ROOT ACESS is like an African woman not bearing children
Naipenda simu yangu ya windows
Tofauti kati ya iPad, tablet za android na windows
iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo
Smartphone za bei rahisi unazoweza kununua
HUDUMA: Unlocking Phone by IMEI Number
Je! Kuna athari gani ya kutumia simu (Feki) clone/copy?
DESKTOP & LAPTOPS
Jinsi ya kuondoa ujumbe wa "copy of window is not genuine" kwenye microsoft windows
Muongozo: Vitu vya kuzingatia unapotaka kununua kompyuta
-
MENGINEYO
Web Development Special Class
Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali
Elimu ya bure Kuhusu Solar Power
Msada naombeni mnieleweshe kuhusu ubuntu nini tafadhari aneye juabasi ungebadilisha title, maana ipo misleading