Nyuzi muhimu za mambo mbalimbali yaliyotolewa ufafanuzi Jamvini

Mkuu huu uzi upo jukwaa la tech. Kwahiyo sidhani kama kuna mtu anapotea au anategemea kukuta kitu tofauti na maswala ya techs.
nilipofungua ulikua kwenye new posts, natumia jamiiforums app, haionyeshi uzi upo jukwaa gani
 
wakuu nna shida na codes za kuicrack IDM, Inaniambia zimebaki siku nane,nadhan kuna mtu alitaka kuiupdate
 
Jinsi ya kupata ROM ya Nokia x msaada please

 
Habari wakuu,

Kutokana na jukwaa letu kuwa na mada nyingi nzuri japo nyingine za muda kidogo, mada maalum zinazoelezea matatizo ya kitu fulani lakini hazionekani kirahisi na kadhalika nimeomba hii iwe sticky na itabeba links ya mada zote muhimu za jukwaa hili ili kutojaza kurasa ya kwanza na stickies..

Pia kama una mada uliipenda na ungependa wengine wawe wanakutana nayo kirahisi waweza comment kwenye thread hii na mimi nitaiweka.

Mwisho, ili kupunguza mada nyingi zisizojitosheleza kwa watu kuomba misaada ningependekeza kwa pamoja tuanzishe mada kubwa(au kupendekeza zilizopo) hasa za brand kubwa za simu maana misaada mingi ipo hapo. Naamini kwa pamoja tunaweza kufanya jukwaa letu kuwa rafiki na zuri zaidi na kwa kuanza nimeanza kwa kutafuta mada kadhaa hapo chini ili wengine kuweka wanazokumbuka.

Kwa heshima napenda kuwaita Chief-Mkwawa Njunwa Wamavoko snipa Mwl.RCT Paje Nyasiro kadoda11 na wengineo wengi..

Asanteni..

=======
TELEVISHENI NA VING'AMUZI

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Ulimwengu wa FTA Satellite TVs


Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Flat Screen: Muongozo kabla hujaenda kununua TV

Kwa maoni yako: King'amuzi gani ni bora hapa Tanzania?

INTERNET
Je! mtandao ukiwa na download speed kubwa ndio mzuri?


Direct links mega thread x2x0x1x5x

Jifunze hatua kwa hatua; Namna ya kushusha video za Youtube bure


SIMU NA TABLETS

Tushirikishane 'Apps' nzuri za Android

Jinsi ya ku root simu yako ya Android


Unayotakiwa kuyajua kuhusu battery, chaja za simu na tablet

Jinsi ya kutambua processor ya simu na kuijua simu fake(android)

Android Phone without ROOT ACESS is like an African woman not bearing children

Naipenda simu yangu ya windows

Tofauti kati ya iPad, tablet za android na windows

iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

Smartphone za bei rahisi unazoweza kununua

HUDUMA: Unlocking Phone by IMEI Number

Je! Kuna athari gani ya kutumia simu (Feki) clone/copy?



DESKTOP & LAPTOPS


Jinsi ya kuondoa ujumbe wa "copy of window is not genuine" kwenye microsoft windows

Muongozo: Vitu vya kuzingatia unapotaka kununua kompyuta
-



MENGINEYO

Web Development Special Class

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Elimu ya bure Kuhusu Solar Power


Safi sana mkuu
 
Wakuu,

'Kulikuwaga' na thread moja hivi ya kupakua softwares mbalimbali. Ilishawahi nisaidia sana (Nilipakua softare moja hivi ya Business Planning ya Palo Alto). Jana kutwa nzima nimeshinda naitafuta tena hata sijaipata. Wenyewe wanaiuza GBP 299.99 ilhali hapa 'niliipataga wa bure tu'.

Hiyo thread ingekuwa kwenye hizo stickes ingekuwa poa sana.


Tafakari.
 
Habari zenu wana JF mliomo humu,kwa heshima na adabu naombeni msaada katika kueleweshwa kuhusiana na mambo yafuatayo:
-Hv kati ya Blog,Website na Application ni kipi chenye ushawishi mkubwa zaidi kwa wasomaji endapo vitakuwa na content sawa??
-Ni kipi hasa kina uwezo wa kubeba content nyingi zaidi kuliko kingine??
Nikihitaji kufanyia biashara ya matangazo kupitia mitandao ya matangazo km Google AdSense na mingineyo ni kipi hasa kinaweza kuwa na return nzuri zaidi km vyote vitakuwa na content sawa??
-Je bei za hivyo vitu vitatu(3)yaani Blog,Website na Application zipoje kiuhalisia kwa anayekutengenezea hasa hasa akiwa expert na sio mwanafunzi??
**Baada ya kutengenezewa kuna process yoyote ya kufuata ili uwezo kuwa mmiliki halali na usiibiwe content zako na wajanja maana nimesikia mara nyingi kuhusu hiki kitu KUNUNUA DOMAIN but sijajua nn maana yake**
J**e baada ya kutengenezewa Blog,Web au App ntasaidiwa kufeed na content za information nazotaka kupost au nafundishwa namna ya kufeed mwenyewe??**
Mwisho ningependa kupewa tahadhari yoyote kuhusiana na Blog,Web au App ntakayokuwa nimetengenezewa ili nisilizwe pindi ambapo itakuwa na mvuto hivyo kupata viewers wengi.Tafadhali naombeni msaada kwa maswali niliyouliza na pia kama kuna nyongeza kwa kile ambacho sijauliza basi mwenye kujua namkaribisha.
Akhsanteni.
 
Back
Top Bottom