Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #21
hahahahahaa noma sana mzee babaunaponiomba hela za NSSF hapo tu huwa unanikwaza (joke)
hahahahahaa noma sana mzee babaunaponiomba hela za NSSF hapo tu huwa unanikwaza (joke)
Thanks tooSawa
Mzee baba nasubiri kwa hamu mwendelezo wa story, au NSSF hawajakupa hata ya bando?Thanks too
Mzee baba jina lako lina ladha fulani hivi ya West Africa
Never missStory poa nyingine ninaandaa kuhusiana na majasusi wa KGB walivyomfanya kitu mbaya Imam wa msikiti huko Aman Jordan
Mtu anaua wafungwa wa kisiasa zaidi ya 1,270 kisha unamuita your hero? Are you serious my friend?
Niandike uongo ili mimi nifaidike na nini boss? Au kuna pesa umesikia ninapata kwa kutunga story za uongo?Ha ha mtoa Uzi ni mwongo Sana
Mkuu wiki ijayo ndo hii mkuuNiandike uongo ili mimi nifaidike na nani boss? Au kuna pesa umesikia ninapata kwa kutunga story za uongo?
NSSF sina tatizo nao tena boss. Nilikwisha malizana nao kitambo sanaau NSSF hawajakupa hata ya bando?
NSSF sina tatizo nao tena boss. Nilikwisha malizana nao kitambo sana
Punguza kujifanya much know kijanaHa ha mtoa Uzi ni mwongo Sana... Toka lini Libya wakawa na su 30 ,, air superiority fighter jet?
Katika air Force ya Libya hawakuwahi kuwa hata na mig 29, su 27, ndo iwe hiyo su 30?
Katika airforce ya Libya ndege ( fighter jets) advanced zaidi ni mig 25 pd, bila kusahau mig 21, na mig 23,,,
Ambazo hizo zote ni less advanced kulinganisha na western fighter jet..
Lingine kazi ya kulipua kitu Kama ghorofa hufanywa na attack air craft Kama vile Su 25 na su 24
Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo wake upo wapi sasa? Au ulitaka uandike wewe hii thread?Ha ha mtoa Uzi ni mwongo Sana
Baba fuatilia ujumbe muhimu wa thread.. Libya hawakuwahi kuwa na su 30 umenipata? Sasa hiyo iliyotaka kuagizwa na M G wa gadafi ni ipi?Uongo wake upo wapi sasa? Au ulitaka uandike wewe hii thread?
Unachofanya we ni fallacy tu.. jibu hoja kwa hoja! Je Libya waliwahi kuwa na su 30? Jibu no hapana! Sasa kwanini ukubaliane kirahisi hivyo..Punguza kujifanya much know kijana
Sijui unafaidika na Nini kuandika uongo! Lini libya ya gadafi walipata kuwa na Su 30?
Hivi unajua baada ya Saddam Hussein, mnunuzi wa pili wa silaha za Soviet/Russia ni Qaddafi kwa nchi za waarabu?Ha ha mtoa Uzi ni mwongo Sana... Toka lini Libya wakawa na su 30 ,, air superiority fighter jet?
Katika air Force ya Libya hawakuwahi kuwa hata na mig 29, su 27, ndo iwe hiyo su 30?
Katika airforce ya Libya ndege ( fighter jets) advanced zaidi ni mig 25 pd, bila kusahau mig 21, na mig 23,,,
Ambazo hizo zote ni less advanced kulinganisha na western fighter jet..
Lingine kazi ya kulipua kitu Kama ghorofa hufanywa na attack air craft Kama vile Su 25 na su 24
Sent using Jamii Forums mobile app