Asante sana mtoa mada, hauko peke yako. Huo ni ushamba mkubwa.
Hawajui tu jinsi ambavyo watu wanavyoweza kukufanyia surveillance kwa kupitia mapost yako mwenyewe.
Dada mbona majaribu yanataka kukutoa kwenye reli. Kama hakua wako huwezi kulazimisha madam. Au hata angekuoa yamkini msingedumu. Shukuru Mungu kwa kukuepusha, songa mbele, behave wanaume wapo tu utaolewa ukimpata anaekufaa
Hilo nalo ni ttzo..! Si uhame.? Watu tunatamani kuacha nyumba tulizojenga kwa gharama nikapange maana kila siku maradhi hayaishi. Kuna mtumishi aliniambia kuna watu walifukia vitu hapa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.