Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,751
- 3,380
Unaweza kuwa umemuita au kajileta mwenyewe kwa vimaneno vyao "baby nimekumisi"
Sasa mpo getho usiku wote mwenzio hana habari nawewe. Yeye yuko uko Instagram, Facebook na Tiktok. Anasurf tu huku anachekelea.
Usiku kuchwa ni yeye na simu simu na yeye. Hana hata habari na huyo aliyedai kammisi. Ikifikia anataka kusepa anadai umwachie maokoto mezani.
Jamani sasa hapo ulinimisi au ulimisi maokoto yangu? Muwe wakweli kwa watoto wa watu.
Kwa mambo kama hayo nyinyi wenyewe mnawaongeza kataa ndoa.
Sasa mpo getho usiku wote mwenzio hana habari nawewe. Yeye yuko uko Instagram, Facebook na Tiktok. Anasurf tu huku anachekelea.
Usiku kuchwa ni yeye na simu simu na yeye. Hana hata habari na huyo aliyedai kammisi. Ikifikia anataka kusepa anadai umwachie maokoto mezani.
Jamani sasa hapo ulinimisi au ulimisi maokoto yangu? Muwe wakweli kwa watoto wa watu.
Kwa mambo kama hayo nyinyi wenyewe mnawaongeza kataa ndoa.