Habari wana JF!
Huwa najiuliza sana hili swali.Jamani nimekuwa nikikereka sana na tabia ya baadhi ya watu kupenda kuishi maisha ya kuiga. Kuishi maisha ya watu wengine.
Hivi ni kwanini mtu anakuwa hapendi kuishi maisha yake halisi? Kwanini Mtu anaishi maisha tofauti na uwezo wa kipato chake...
Queen Elizabeth kwa bei nafuu pamoja na lotion nyingine nyingi,mascara, rangi za kucha,perfumes,deodorants na spray za aina mbalimbali,shower gels,sabuni za kuogea n.k.
Karibuni, tuwasiliane.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.