Nakubaliana na nyinyi wakuu, CCM wamekuwa wajanja kwa kuwawezesha wagombea wasio na changamoto kwao, kushinda kwenye kura za maoni CHADEMA na kuwaengua wagombea watakaoleta ushindani mkubwa kwao mfano Igunga, Geita mjini na jimbo la Nyasa haya ni majimbo machache kati ya mengi ambao huu mchezo...
Nakubaliana na mtoa mada kwa asilimia 100. Uongozi wa chadema CHADEMA inabidi uwe makini sana kwenye kupitisha wagombea, yapo majimbo mengi tu ambayo wagombea wamepita kwa rafu za kiCCM, kama kugawa rushwa kwa sana, mfano wa majimbo mengine ni jimbo la shinyanga mjini na jimbo la Nyasa. Watia...
Matazano mzuri na agenda kweli ni moja CCM out, ni lazima kuwe na wagombea kila jimbo ili ccm wasipate ushindi kabla ya uchaguzi kufanyika. Lakini pamoja na agenda hiyo lazima CDM wawe na vetting ya wagombea ili wapitishe wale tu wanaofaa na kukubalika maeneo husika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.