ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,139
- 17,612
Ku search siyo tatizo, kwangu kigezo cha umri ni muhimu sana.
Kwani yeye amesema kigezo cha umri ndo tatizo?
Ku search siyo tatizo, kwangu kigezo cha umri ni muhimu sana.
Sina mtoto. I am btn 30 and 35
Sina mtoto. I am btn 30 and 35
Sikuwa najua hili!!Bachelor for life lol!!unatafuta mume ama "mume wa mtu"? maana ata that age wanaume wengi washaseto na familia,, waliobaki ndo wale mabachela for life, hata wakioa kwa kulazimishwa kiuhalisia hubaki mabachela
tehe! tehe! tehe!..upoooo!Mmmmnh....!!
Nahitaji mume mwenye uhitaji wa mwanamke. Awe mkristu mcha Mungu, awe mchapa kaza(kazi halali). Awe tayari kupima UKIMWI, awe tayari kuwa baba wa familiaa.
Pm ni kwa mwenye uhitaji tu!
tehe! tehe! tehe!..upoooo!
Nani ambaye hana familia na umri wa miaka hiyooo... sema watafuta Mme wa Mtu tu...... But that Non of my business
Waume wa watu mnaitwa huku
Mhhhhhh! na wewe huchagui maneno ya kumuandikia mzee wako?Nipo...Wee si umenikimbia sababu ya menopause.
Mhhhhhh! na wewe huchagui maneno ya kumuandikia mzee wako?
Poa poaRudi basi nyumbani...Nimekumiss sana.!