IGUNGA - Bila Mwl. Kashindye CHADEMA inajichimbia KABURI

IGUNGA - Bila Mwl. Kashindye CHADEMA inajichimbia KABURI

Haya ndo yanayosemwa na jimbo la Geita Mjini mkuu! Rogers Ruhega ambaye ndiye aliyepeperusha bendera ya Chadema mwaka 2010 na kuwapa CCM ushindani wa kutosha ameambulia nafasi ya 3 kwenye kura za maoni!! Na nimeambiwa yanayosemwa mtaani ni haya haya kwamba walioshinda wamepiga goli la mkono!! Ngoja tusubiri tuone.

CCM wamebadilisha mbinu mwaka huu wanaingiza fedha kwa wajumbe na kumpigia kampeni mjumbe dhaifu ili wao wakisimamisha wa kwao ashinde kiurahisi, kwa hiyo CHADEMA makao makuu kama wana nia ya dhati kuhakikisha CHADEMA(UKAWA) wanaingiza wabunge wengi Bungeni wafuatilie kwa umakini mkubwa sana matokeo ya kura za maoni katika majimbo yote wasipoangalia wanaweza kushitukia idadi ya wabunge inapungua kuliko ilivyo sasa kwani fedha za ESCROW zinafanya kazi yake muda huu.
 
Acha kuweweseka wewe! Mwambie ahamie rasmi ACT - Wavamizi ili wampe ukurugenzi na gari. Kwanza huyo Mwalimu asiyejitambua aliweza kurubuniwa na Zitto kiasi cha kusababisha mtikisiko wa wanachama waliojitolea kwenye uchaguzi mdogo wa marudio ambapo walitumia fedha na damu zao katika kuhakikisha Nwalimu asiyejitambua kupata ushindi. Matokeo ya Igunga ameyasababisha yeye mwenyewe na wala asimtafute mchawi.

Wewe utakuwa ni miongoni mwa hao wajumbe njaa mliopewa fedha na huyo kibaraka wenu na kuja na hoja nyepesi kama hizo ili mradi tu mtafute mbinu za kumwengua Mwl. Kashindye cha kushangaza mbona haujaweka ile hoja nyingine mnayosema kuwa mwl. Kashindye hana fedha hivyo hawezi kushinda? bila kusahau ile hoja nyingine mliyoitunga ya kusema eti mlikuta kadi ya ACT katika begi lake? acheni ujinga wa kutaka kuiporomosha CHADEMA ambayo ilikuwa imeishaimarika kwa sababu ya hivyo vipesa ambavyo kiuhalisia nafikiri hata sasa hivi umeishavimaliza.
 
Muda Mrefu huyo kashindye wako alikua mfuasi wa zitto na ACT yake kwanza nashangaa kuniambia kuwa bado yupo CDM

Kama ni hivyo vipi chaguzi serikali za mitaa alipigia kampeni kupitia ACT au CHADEMA?hizo ni hoja za kijinga mlizompandikizia mkishirikiana na CCM ambao kiuhalisia ndio adui yao No. 1 huku mkishindwa kujua kabisa lengo la CCM ni nini. Tatizo kubwa ndugu zanguni ni elimu mliyonayo kwani hamna uwezo wa kuchanganua mambo na kufikiri kwa kina future ya nini mnachokifanya.
 
Kila anayeshindwa anakuja humu na kudai kaonewa, Rushwa nk. Huo utamaduni wa kutoa rushwa umeanza lini CHADEMA?
Binafsi ninajua kubwa Demokrasia na ushindani umekuwa mkubwa sana ndani ya CHADEMA katika kupata nafasi ya kuweza kugombea, hivyo mtu yoyote anaweza kugombea na kushinda au kushindwa. Sasa kuna watu hao wanadhani kwa kuwa wamekijenga Chama kwa muda mrefu na gharama kubwa basi watapewa zawadi ya kugombea na Chama, sasa wagombea wapya ambao sometimes wanakuwa na big influence basi wataitwa mamluki, wakuja, mafisadi nk.
 
Nakubaliana na mtoa mada kwa asilimia 100. Uongozi wa chadema CHADEMA inabidi uwe makini sana kwenye kupitisha wagombea, yapo majimbo mengi tu ambayo wagombea wamepita kwa rafu za kiCCM, kama kugawa rushwa kwa sana, mfano wa majimbo mengine ni jimbo la shinyanga mjini na jimbo la Nyasa. Watia nia wengine walioshinda CHADEMA wamewezeshwa na wagombea wa CCM. Kwa hiyo chama kinatakiwa kikae vizuri kwa umakini wa hali ya juu kuweza kutoka na wagombea watakaosimama na chama.
 
Hapa kuna harufu ya gamba hapa.Chadema hakuna aliye maarufu zaidi ya chama.Wapo wengi wametoa mchango kwenye hiki chama na wengine wamekufa wakipigania Chadema hivyo jambo la msingi ni kusubiri wajumbe waamue nani anafaa na sio kutaka kulazimisha.
 
Mkuu hupo sawa kabisa humu kuna watu hawajui hali halisi iliyopo huku, ikumbukwe wazi Mwl.Kashindye ndiyo tishio kwa CCM na wameishafanya mbinu nyingi kutaka kumrubuni aweze kuondoka CDM ilishindikana kwa hii ni mbinu mpya waliyokuja nayo kuweza kuingiza mamluki wao na kutumia fedha nyingi na kuhakikisha wajumbe wanateua mgombea aliye dhaifu ili kusiwepo na upinzani wa kutosha na wao waweze kushinda kirahisi na ndio maana waliweza kuwekeza nguvu nyingi kwa huyu kijana kupewa fedha ambazo amezitumia kuwarubuni wajumbe ambao kwa uzembe na kutojitambua hawakujua kuwa hiyo ni njama mahususi ya CCM kuweza kujishindia ubunge kirahisi kabisa.

nimefuatilia sana suala la mleta mada, pamoja nakuonesha mahaba kwa Mwalimu Kashindye ila anayoyasema kuhusu mgombea aliyeshinda ni sahihi. wakuu ni dhahiri kwamba uchauzi huu umulikwe na hata ushindi utenguliwe. Samson amepata ushindi kiCCM kwa kugawa rushwa kwa wajumbe

Haya ndo yanayosemwa na jimbo la Geita Mjini mkuu! Rogers Ruhega ambaye ndiye aliyepeperusha bendera ya Chadema mwaka 2010 na kuwapa CCM ushindani wa kutosha ameambulia nafasi ya 3 kwenye kura za maoni!! Na nimeambiwa yanayosemwa mtaani ni haya haya kwamba walioshinda wamepiga goli la mkono!! Ngoja tusubiri tuone.

Nakubaliana na nyinyi wakuu, CCM wamekuwa wajanja kwa kuwawezesha wagombea wasio na changamoto kwao, kushinda kwenye kura za maoni CHADEMA na kuwaengua wagombea watakaoleta ushindani mkubwa kwao mfano Igunga, Geita mjini na jimbo la Nyasa haya ni majimbo machache kati ya mengi ambao huu mchezo umefanyika. CDM wanatakiwa kulifanyia kazi hili.
 
Wewe utakuwa ni miongoni mwa hao wajumbe njaa mliopewa fedha na huyo kibaraka wenu na kuja na hoja nyepesi kama hizo ili mradi tu mtafute mbinu za kumwengua Mwl. Kashindye cha kushangaza mbona haujaweka ile hoja nyingine mnayosema kuwa mwl. Kashindye hana fedha hivyo hawezi kushinda? bila kusahau ile hoja nyingine mliyoitunga ya kusema eti mlikuta kadi ya ACT katika begi lake? acheni ujinga wa kutaka kuiporomosha CHADEMA ambayo ilikuwa imeishaimarika kwa sababu ya hivyo vipesa ambavyo kiuhalisia nafikiri hata sasa hivi umeishavimaliza.

Ukiona manyoya ujue kaliwa! Mwl.fake ameliwa kilichobaki ni kilio cha samaki.
 
Ukiona manyoya ujue kaliwa! Mwl.fake ameliwa kilichobaki ni kilio cha samaki.
Wewe ni baadhi ya mamluki mliopandikizwa ndani ya CDM kwa lengo la kuua chama na sio kukijenga ndio maana unaandika huu upumbavu
 
Unalazimisha apitishwe? Acha demokrasia ichukue mkondo wake.

unataka kutuletea mambo yenu mnayofanya CCM kupora ushindi wa wagombea? grow up and think BIG man!
 
Last edited by a moderator:
Ndugu kuna sentensi ipo kwenye maelezo yangu kama inavyojionyesha hapa chini, hii ina maelezo mengi lakini nimeiweka kwa ufupi sana.

''Kuna njama za makusudi zimepangwa na kuratibiwa na baadhi ya viongozi ili kuhakikisha Mwl.Kashindye apati nafasi ya kugombea Ubunge kwa awamu hii akiwemo na kiongozi mkubwa aliyejitanabaisha kuwa ana mapenzi na CHADEMA Igunga .''

mkuu, hebu MTAJE huyo KIONGOZI MKUBWA ili tuhitimishe huu mjadala.
 
Nilicho kizungumzia na kukitegemea ndicho kilichotokea wamempitisha kijana anayeitwa Kube ambaye alikuwa kinara wa rushwa ni vema uongozi wa juu ukafanya uchunguzi wa kina huyu kijana katokea wapi, fedha kapewa na nani na je lengo lake ni mini? Mwisho namalizia tena bila Mwl.Kashindye CDM Igunga itakuwa imejichimbia kaburi.

Mwl Kashindye yeye kasemaje? Amekubali matokeo au anatarajia kukata rufaa?
 
Mwl Kashindye yeye kasemaje? Amekubali matokeo au anatarajia kukata rufaa?

Yeye amesema anamuachia mungu na kwa kuwa majina yatapelekwa kamati kuu ya chama taifa hivyo anategemea watatenda haki.
 
Ukiona manyoya ujue kaliwa! Mwl.fake ameliwa kilichobaki ni kilio cha samaki.

mknd wako! CHADEMA hakuna ujinga kama mnaofanya huko CCM. kama huna cha kuchangia ni bora ukae kimya.
 
Last edited by a moderator:
Acha kuweweseka wewe! Mwambie ahamie rasmi ACT - Wavamizi ili wampe ukurugenzi na gari. Kwanza huyo Mwalimu asiyejitambua aliweza kurubuniwa na Zitto kiasi cha kusababisha mtikisiko wa wanachama waliojitolea kwenye uchaguzi mdogo wa marudio ambapo walitumia fedha na damu zao katika kuhakikisha Nwalimu asiyejitambua kupata ushindi. Matokeo ya Igunga ameyasababisha yeye mwenyewe na wala asimtafute mchawi.

mkuu, kwanini unataka kuleta taratibu zenu za kiCCM ndani ya CHADEMA?
 
Kuachia utumishi wa umma ni jambo lingine na kupata nafasi ya kuwakilisha wanachama wenzako kwenye chaguzi ni jambo lingine.
 
Yeye amesema anamuachia mungu na kwa kuwa majina yatapelekwa kamati kuu ya chama taifa hivyo anategemea watatenda haki.

yeah! nadhani makao makuu watachambua pumba na mchele na kutuletea mgombea anayeuzika kwa wanaIgunga.
 
Back
Top Bottom