The only way to cage your partner is to access his/her phone without any restrictions. I like Smartphoneswatu wanafuga nyoka na simba...la msingi ni kuhakikisha wako caged 24/7
The only way to cage your partner is to access his/her phone without any restrictions. I like Smartphones
Sema ukweli unaficha MICHEPUKO tu.Nini kukupa password, hata kuigusa hugusi
Nimekupata!!! ingawa ni siri ya ndani ila kugongewa kunauma na huwezi kugongewa bila kupitia mshenga na mshenga siku hizi ni SIMUI am with you all the way..nilikuwa namuelewesha mjomba aliyedai kuwa kama humuamini usiishi nae nyumbani
Pole mwaya, ni kweli kama hachepuki password ya nini?Uuiwii mmenigusa nateswa sana na password ya mume,imagine nimekuwa muaminifu kupita kawaida dah so sad.badilikeni mnaofanya hivo.kama huchepuki pass ya nini??????
Kwa sasa kila mtu anatamani au anatumia Smartphones,hata huku kwetu vijijini akinadada na makaka wa kishua wanatumia hizo simu tunaita simu-tanashati.
Ukitaka kujua kuwa mpenzi wako anaaminika au haaminiki, ni kuangalia kama simu yake ina Password unayoifahamu.
Kama mpenzi au mwenzi wako anaweka password ambayo huijui, jua si MWAMINIFU na muogope kama ukoma maana udanganyifu wa mapenzi umezidi.
Ujumbe: kabla ya kugegedana muombe mpenzi wako kama njia ya kumuandaa akupe simu yake/zake na uchungulie; akikupa jua ni mwaminifu na endelea hata bila ndomu ila akikataa geuka mzungu wa tano.
Wekeend njema
Hahahaha
Mapenzi ya siku hizi ruksa kushikana shikana sio kushikiana simu, ha haa haa
Kila mtu atumie simu yake tusiuane na presha
Nimeipenda hii very true!mtu Ana simu tatu zote zima password,no trust at all
Pole ila ulijua ukwelidizain kuna ka ukweli flan
bt dah one day yes ingawa moyo sio wa chuma yanilikuta nikatamani ardh ipasuke nidumbukie