Recent content by L.a Makisi

  1. L.a Makisi

    Nina mimba ya Miezi 9 natakiwa kusafiri kwenda ukweni

    Pata ushauri wa Dr wako then take action.
  2. L.a Makisi

    Je, kuna ukweli kuwa wanawake wa kiafrika hawako huru kitandani?

    Dada zetu wengine hawako huru kwa bedroom, wako amboa wanajua what to do. Most men like a woman with skills.
  3. L.a Makisi

    Ujenzi wa barabara Arusha nani apewe sifa?

    Barabara hizi ni maendeleao ya jiji letu la Arusha we need good roads here is nothing to do na road to Tabora na Iringa au Tabora na Mbeya peleka malalamiko yako wa hizo road za taifa kwa Makufuli
  4. L.a Makisi

    Hivi Mwakyembe ana power kuliko Pinda?

    Pinda ni mwaoga wa kufanya mamuzi magumu serikalini anagalia JK anasemaje kwanza ndio naye atoye mamuzi yake bila kumkasirisha JK he is the Weakest link in goverment. (unakumbuka sakata la madakitari? he did nothing) :smash:
  5. L.a Makisi

    Maandamano ya nchi nzima

    Tuko Pamoja katika hili, change is a must!
  6. L.a Makisi

    Arumeru hali si shwari mabomu ya machozi yatumika kusambaratisha watu.

    "3.Wanadai baada ya muafaka wa barabara na shule kupatikana watataka sasa wajue nini muafaka hiyo ardhi iliyomilikishwa kwa mzungu mmoja huku wananchi wa eneo husika wakiteseka kwa kukosa ardhi" THIS IS NOT TRUE THERE MANY TANAZANIA'S HAVE BOUGHT LAND AT DOLLY FARM AND SIO YA MZUNGU MMOJA.
  7. L.a Makisi

    Kampeni za CCM Arumeru east updates....!

    D CDM wanatumia 2,500 USD for fuel ya chopper per day, hizo pesa c watumia kwa maendeleo ya wananchi kwenye jimbo la Arumeru au majimbo mengine.
  8. L.a Makisi

    Mwigulu ule moto wa mwanzo umeishia wapi!?

    Mwigulu yapo sana leo alikuwa kwenya kampeni zote mpaka jioni
  9. L.a Makisi

    Kampeni za ccm arumeru east leo:

    ccm leo jioni walikuwa kata ya maji ya chai kijiji cha imbaseni:
  10. L.a Makisi

    Unajua E.Lowassa sio Mmasai, ni Mmeru aliyeasi kabila, Arumeru mkataeni ila hela kuleni

    Yaani wewe unajua hilo leo......hiyo sio huja ya msingi lets wait 1st April kwenye saduku la kura.
  11. L.a Makisi

    Kampeni za CCM Arumeru east updates....!

    CCM wamefunika mbaya katika kijiji cha patandi/tengeru.....habari ndio hiyo!
  12. L.a Makisi

    Chadema yaipa polisi saa 24

    Haaaaha Azimio la Arusha hilo....!
  13. L.a Makisi

    Olesendeka amhakikishia ushindi Joshua Nassari Arumeru Mashariki

    Kwani yeye ndio anayepiga kura au wananchi wa Arumeru East!!!!
  14. L.a Makisi

    Falsafa za Kambarage

    JK Nyerere was a leader chosen by God lo lead Tanzania...... we will great miss him!
Back
Top Bottom