kinganola
Senior Member
- Aug 16, 2011
- 117
- 30
Nanukuu kauli aliyo itoa mbele ya msafara wa CDM ulio kuwa ukielekea Mererani.JOSHUA UTASHINDA,UBUNGE UTASHINDA NA NINAVYOSEMA I MEAN IT mwisho wa kunukuu...
Wakiwa safarini CDM kuelekea Mererani walikutana na Mh Sendeka ndipo Sendeka aliposhuka kwenye Gari na kutaka kukumbatiana na Dr Slaa,Dr alikataa na kumwita mnafiki,Sendeka alifuata gari alilo panda Nas na kumsalimia kwa kumkumbatia na kutoa kauli za kumhakikishia ushindi...
Wakiwa safarini CDM kuelekea Mererani walikutana na Mh Sendeka ndipo Sendeka aliposhuka kwenye Gari na kutaka kukumbatiana na Dr Slaa,Dr alikataa na kumwita mnafiki,Sendeka alifuata gari alilo panda Nas na kumsalimia kwa kumkumbatia na kutoa kauli za kumhakikishia ushindi...