webondo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2012
- 1,713
- 382
Acha kudanganya watu.Chizi utalalamika sana ila suala la wewe kurudi pale halipo!
Maana nimjuavyo Mwakyembe anaweza ata Kujiuzulu kwa ilo suala!
Kama hauna ukweli kwenye izo tuhuma si usubiri kamati ya uchunguzi waje na report yao!