Recent content by kyasimbanestory

  1. K

    Wananchi Mara wapiga deki barabara Lowassa apite

    Hivi wanaamin push up itawapeleka ikulu hebu jiandaeni kisaikolojia maana sikio la kufa halisikii dawa
  2. K

    Ushauri wangu: Star TV juu ya Dr Slaa

    Kwa kwel ni mvumilivu na ndo rais tunayemtaka c Mr jazba
  3. K

    Natoa msisitizo, UKAWA yapoteza ngome yake muhimu Arusha

    Pole maana kwa mkutano wa CHADEMA jana lazima muumwe vichwa coz hujawahi kutokea sasa October CCM kura hampati jana ilikuwa zaidi ya kumwapisha rais
  4. K

    CHADEMA yapata pigo Karatu, zaidi ya wanachama 3800 wamehamia CCM

    Hatubadiliki hatutishiki na propaganda zozote mambo yote mnayopanga Hayatapangika tumeamua huu ni mwaka wa mabadiliko ila una nyanganya kichinjio kipo pale pale TUMESHITUKA!
  5. K

    Magufuli ametumia muda mfupi sana kuivuruga ngome ya Lowassa

    CCM mwaka huu mnalo mcje mkathubutu kuiba kura ni hatari kwa cc wazima kura
  6. K

    Ni dakika 5 za Lowassa

    Mtasema yooote lakini watanzania hawsdanganyiki tena wana akili zao Lowassa ndo hbr ya mjini
  7. K

    UKAWA vs CCM katika urais, piga Kura hapa

    Lowassa ni zaidi ya habari
  8. K

    Magufuli Vs. Lowassa, nani zaidi katika Utekelezaji?

    We lowasa acha kbs habar yake ni kubwa juu ya utekelezaji
  9. K

    Tigopesa sio salama?

    Mm pia nlishawahi kuibiwa ila nlieudishiwa hela zangu nione nkupe taratibu
  10. K

    Angalia namna Lowassa anavyojichanganya na kuonyesha mapungufu yake mengi

    Hao ndo wapo kwenye system ss wanahaha hizo kauli wslizificha wp ole wenu maana damu yenu i juu ya watanzania wengi wanaotaabika na ninyi wachache mnaojineemesha
  11. K

    Edward Ngoyai Lowassa anavuruga amani ya nchi

    Huyo jamaa ndo wale wale magamba ambao ss roho inataka kuwatoka now wanatapatapa huuu ss ndo mwisho wenu Lowassa ana kosa gn kwn huelewi nguvu ya umma tukutane October saa mbili asbh anaapishwa rais mpya na chama kipya
  12. K

    Anguko kubwa linakuja Oktoba

    Pole sn October ndo jibu la ukawa peoplezzzzzzzzzzzzz,
  13. K

    Mnaoipenda CCM Nisikilizeni kwa makini sana

    CCM ina itikadi gn km c maisha mabaya kwa kila mtanzania
Back
Top Bottom