Hatubadiliki hatutishiki na propaganda zozote mambo yote mnayopanga Hayatapangika tumeamua huu ni mwaka wa mabadiliko ila una nyanganya kichinjio kipo pale pale TUMESHITUKA!
Hao ndo wapo kwenye system ss wanahaha hizo kauli wslizificha wp ole wenu maana damu yenu i juu ya watanzania wengi wanaotaabika na ninyi wachache mnaojineemesha
Huyo jamaa ndo wale wale magamba ambao ss roho inataka kuwatoka now wanatapatapa huuu ss ndo mwisho wenu Lowassa ana kosa gn kwn huelewi nguvu ya umma tukutane October saa mbili asbh anaapishwa rais mpya na chama kipya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.