Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 622
Unawashwa nini? Mbona sisi CCM hatusemi juu ya Kingunge? Lowasa hawezi kuwa rais hata iweje maana ni fisadi mwizi alitakiwa awe keshakufa kwa kuchomwa moto
Nikweli Lowasa angekuwa amechomwa moto....ila kuni mngekuwa nyie wanaCCM woooote, kuni ya kuwashia angekuwa mwenyekiti na kibiriti angekuwa Riz1