Edward Ngoyai Lowassa anavuruga amani ya nchi

Edward Ngoyai Lowassa anavuruga amani ya nchi

Kama mngejua Tz ni ya wote. Kungekuwa na neutral ground ya siasa kwa wote na si favor kwa watawala na ukandamizaji kwa wapinzani.

Ukifanya hivyo hata kama ni wewe utakuja kuwa kiongozi utashikwa hadi machoni,binadamu ni kiumbe wa ajabu sana,kama una familia we wape uhuru watoto wako utaona kitakachotokea,hyo ipo very physchological.
 
Hata nabii Issa bin Mariamu alipokuwa anawaambia wayahudi kuwa ipo siku Yerusalemu itabaki kama gofu hawakumwamini,Lowassa ni mbinafsi amezungukwa na majangili ambayo yameiingiza hii nchi katika matatizo makubwa,na ndiye mwanzilishi wa mfumo mtandao ambao unamtafuna sasa yeye mwenyewe na wenzake ambao mnaona wanakimbia kimfuata sababu hawana namna tena.
Serikali ya CCM ndiyo ya kibaguzi haiwezekani muibe kila siku Mali za umma huku binadamu wenzenu wakiishi kwa shida na nyie kujilimbikizia Mali tena mlioibia taifa hili, huo Ni ubaguzi mkubwa Sana! Serikali ya CCM (chama cha mafisadi) Ni wezi, wauaji, madicteta, mnapindisha haki za wanyonge, mmejitungia katiba yenu ili iweze kulinda maslahi yenu. CCM imeoza inanuka kwa rushwa
 
Watu kwa hisia zao ndio walimpokea kwa mabango na maandamano sasa yeye kosa lake liko wap? Amani gani ya nchi ameiharibu? Asipost vitu tu kwakua mtazamo wake ni mwingine. Hebu aonyeshe huo uvunjifu wa amani kwa muktadha wa jana pale mwanga

Kazi ya vyombo vya usalama ni kizuia tatizo hata kabla halijatokea we unayajua ni mangapi yamezuiwa ambayo huyanjui?imagine pale wangeenda watu wamevaa sare za Chadema na Ccm ikatokea tu mtu akaanzisha zogo,we unadhani wote waliokuwepo pale ni wazima?wengine walishalewa wengine wavuta bange,wengine wana akili zao timamu.
 
Watu kwa hisia zao ndio walimpokea kwa mabango na maandamano sasa yeye kosa lake liko wap? Amani gani ya nchi ameiharibu? Asipost vitu tu kwakua mtazamo wake ni mwingine. Hebu aonyeshe huo uvunjifu wa amani kwa muktadha wa jana pale mwanga
Maandamano= na watu kuwa katika idadi ya watu Fulani wakipinga jambo Fulani! Sasa wanavyosema maandamano Jana nani aliandamana?? Kiswahili kigumu Sana! Wao wamemsindikiza mpendwa wao maccm wasije kumdhuru, maana hawachelewi
 
Wavunja amani ni serikali wenyewe na chama chao ccm, usipotoshe watu mwehu wewe. Watu kumsindikiza mtu kuna shida gani hata mtumie nguvuvkumzuia? Ni uoga huo wa kutoka madarakani.
 
Watu kwa hisia zao ndio walimpokea kwa mabango na maandamano sasa yeye kosa lake liko wap? Amani gani ya nchi ameiharibu? Asipost vitu tu kwakua mtazamo wake ni mwingine. Hebu aonyeshe huo uvunjifu wa amani kwa muktadha wa jana pale mwanga
Maandamano= Ni watu kuwa katika idadi ya watu Fulani wakitembea kuonyesha kutokubaliana na jambo Fulani! Sasa wanavyosema maandamano Jana nani aliandamana?? Kiswahili kigumu Sana! Wao wamemsindikiza mpendwa wao maccm wasije kumdhuru, maana hawachelewi
 
Maandamano= na watu kuwa katika idadi ya watu Fulani wakipinga jambo Fulani! Sasa wanavyosema maandamano Jana nani aliandamana?? Kiswahili kigumu Sana! Wao wamemsindikiza mpendwa wao maccm wasije kumdhuru, maana hawachelewi

Ukitazama yalishakuwa katika mfumo huo,bendera za vyama na mavazi ya chama.
 
Anayeleta virugu na kupoteza amslani ni were hapo . wengine kwa sasa tunapo muona Lowasa tunasikia furaha tele na Amani kwa watanzania wote na nchi kiujumla inakuwa shwaaariiii.... Ni fitna zenu tu .
 
Huyo jamaa ndo wale wale magamba ambao ss roho inataka kuwatoka now wanatapatapa huuu ss ndo mwisho wenu Lowassa ana kosa gn kwn huelewi nguvu ya umma tukutane October saa mbili asbh anaapishwa rais mpya na chama kipya
 
Anayeleta virugu na kupoteza amslani ni were hapo . wengine kwa sasa tunapo muona Lowasa tunasikia furaha tele na Amani kwa watanzania wote na nchi kiujumla inakuwa shwaaariiii.... Ni fitna zenu tu .

Sijakuelewa ifanyie editing kazi yako........................
 
Huyo jamaa ndo wale wale magamba ambao ss roho inataka kuwatoka now wanatapatapa huuu ss ndo mwisho wenu Lowassa ana kosa gn kwn huelewi nguvu ya umma tukutane October saa mbili asbh anaapishwa rais mpya na chama kipya

Mi ni Mtanzania mzalendo bwana hayo magamba hata siyajui na sina mrengo na chama chochote cha kisiasa ndugu siasa............
 
Haya ndiyo majibu ya RPC akiongea na waandishi wa habari juu ya kuzuia maandamano ya LOWASSA Jana..


"Sikilizeni ninyi waandishi nguvu na wala mamlaka ya kumzuia Mhe. Lowassa sina na wala haiko mikononi mwangu.

Na hivi jamani watu wanakwenda msibani nawezaje kuwazuia?? Ingekuwa Harusi basi labda ningesema hawakuwa na Kadi ya mwaliko ila hili la msiba mtakuwa mnatuonea sisi bure mambo mengine nendeni mkatafute majibu huko juu."

Aliendelea kusema hivi..

"Sisi huku tunetumikia ------ tupate ujira wetu na nataka niwahakikishie wakati mwingine tunawekwa katika wakati mgumu pasipo sababu ya msingi.
Yatosha kusema sisi kama Jeshi la Polisi tunatambua kuwa Mhe. Lowassa ni Waziri Mkuu Mstaafu wa Taifa na ana sifa zote za kuendelea kuheshimiwa na kupewa vipaumbele vyote vinavyomstahili katika Jeshi sifa kubwa tuliyo nayo ni nidhamu.

Lakini haya yaliyotokea leo mtawaonea bure hao Polisi wala hawana hati wenye mamlaka ndio waliotoa amri sisi huku tunatekeleza tu ili angalau hii miezi mitatu iliyobaki isiwe michungu kwetu. Ahsanteni sana........"

RPC akakata simu......

Sasa jiulize Mtanzania hiyo amri imetoka wap????

Zamu yako 2015
 
Ukitazama yalishakuwa katika mfumo huo,bendera za vyama na mavazi ya chama.

ok, kama tatizo ni bendera police si wangewaambia waziache ndiyo waende? Au kulikuwa na shida nyingine? Watu wanamsindikiza mpendwa wao kwa amani nyie mmekalia wameandamana!! Kwani Kuvaa mavazi ya chama ni kosa?? Mbona CCM mnazivaa kila sehemu?
 
ok, kama tatizo ni bendera police si wangewaambia waziache ndiyo waende? Au kulikuwa na shida nyingine? Watu wanamsindikiza mpendwa wao kwa amani nyie mmekalia wameandamana!! Kwani Kuvaa mavazi ya chama ni kosa?? Mbona CCM mnazivaa kila sehemu?

Kwa mustakbali wa hoja yako ondoa neno ccm hapo ukilenga hoja yangu unaniweka kuwa ni mwanaccm,mi ni mzalendo naipenda nchi yangu,waliambiwa hawakutaka kusikia wakasimamia msimamo wao kuwa wanamsindikiza Lowassa,na kama aliyefariki alikuwa mwanachama wa ccm mi siwezi kushangaa wao kuvaa sare za ccm,sababu aliyekufa ni kada wao,sasa sare za Chadema kwenye mazishi ya kada wa Ccm wapi na wapi si ni kuanzisha vurugu tu.
 
Haya ndiyo majibu ya RPC akiongea na waandishi wa habari juu ya kuzuia maandamano ya LOWASSA Jana..


"Sikilizeni ninyi waandishi nguvu na wala mamlaka ya kumzuia Mhe. Lowassa sina na wala haiko mikononi mwangu.

Na hivi jamani watu wanakwenda msibani nawezaje kuwazuia?? Ingekuwa Harusi basi labda ningesema hawakuwa na Kadi ya mwaliko ila hili la msiba mtakuwa mnatuonea sisi bure mambo mengine nendeni mkatafute majibu huko juu."

Aliendelea kusema hivi..

"Sisi huku tunetumikia ------ tupate ujira wetu na nataka niwahakikishie wakati mwingine tunawekwa katika wakati mgumu pasipo sababu ya msingi.
Yatosha kusema sisi kama Jeshi la Polisi tunatambua kuwa Mhe. Lowassa ni Waziri Mkuu Mstaafu wa Taifa na ana sifa zote za kuendelea kuheshimiwa na kupewa vipaumbele vyote vinavyomstahili katika Jeshi sifa kubwa tuliyo nayo ni nidhamu.

Lakini haya yaliyotokea leo mtawaonea bure hao Polisi wala hawana hati wenye mamlaka ndio waliotoa amri sisi huku tunatekeleza tu ili angalau hii miezi mitatu iliyobaki isiwe michungu kwetu. Ahsanteni sana........"

RPC akakata simu......

Sasa jiulize Mtanzania hiyo amri imetoka wap????

Zamu yako 2015

Tutamtumia hii copy ya quotes zako athibitishe mzee sababu humu kuna wazushi balaaa.
 
Hakuna amani kwenye nyumba iliyo na njaa!!watu wakifanya ukomboz wewe sema wanasababisha vita,wanafunzi wakisomea kwenye vumbi na kukaa chini sema tuna amani!
 
Back
Top Bottom