Afya inatoka kwa Allah pekee kama hayo mabaya uliyoyasema hapo juu yametoka moyoni basi hakika na wewe utalipwa hapahapa duniani siku zi mbali sana
Naomba muelewe kitu kimoja. Lowassa sio mgonjwa.
Lowassa ni mzima sana, na huu ugonjwa anautumia kama kisingizio ili asihutubie muda mrefu jukwaani.
Lowassa kama angekua hajiwezi asingepanda jukwaani halafu ahutubie dakika tatu dodoma
Lowassa kama angekua mgonjwa asingehutubia dakika saba tu kwenye siku yake kubwa ya ufunguzi
Lowassa haumwi ila anasingizia ugonjwa ili asihutubie muda mrefu kwa sababu zifuatazo:
Hawezi kumbuka kitu cha kutuambia
Hawezi kemea ufisadi
Hawezi kemea rushwa
Hawezi kemea ugaidi
Hawezi kemea uhalifu
Hawezi jua ilani ya chama
Hawezi sema ataukuzaje uchumi
Hawezi jitetea tuhuma zinazomkabili
Hawezi jibu mashambulizi
Hawezi kataa kua yeye ni fisadi papa
Hawezi sema kapataje mali zake
Hawezi sema ukweli
Hawezi penda masikini
Hawezi poteza sauti yake kujieleza kwa mafala
Hawezi sema kwa nini lazima awe Rais
Hawezi nyooshea kidole mafisadi wenzake
Hawezi sema atafanyaje kazi
Hawezi sema kalifanyia nini taifa
Hawezi sema Zero ni Zero
Hawezi kumbuka jina la mke wake
Yaani wewe na akili zako, mtu anakuja kukuoba kazi halafu kwenye interview anaona uvivu kujieleza kwako anakuambia kasome website halafu unamkubali?
Lowassa katudharau sana watanzania, ametuona mafala ndio maana hana ha time ya kuongea na sisi
Katuona kama watoto wadogo kutupa pipi na kutuahidi baiskeli mpya
Amka mtanzania ujitambue
Tunahitaji mtu atakaetuambia yeye mwenyewe kwa kinywa chake kwa nini tumchague
Ukawa wanatuletea sinema ya kihindi
ulimbukeni wa mabadiliko unakumalizaHuyu huyu ndiye tumtakae,alipo tupo na katu hatutodanganyika
Hata akiwa kichaa watanzania tutampigia kura
Lowassa kutokemea ufisadi, rushwa na uhalifu, hayo ni magonjwa makubwa ambayo tayari anayo.
Teh teh mipoooooooooooooooov inakutoka na bado.........wazee wa kujenga reli kwa kiwango cha lami kazi mnayo...wazee wa msituadhibu lazima muombe poo............... makunguni mtajibeba...............
Itabid tuseme msemo mmoja wa marekani ** Haijalishi Kama Ataleta Maendeleo au la! Tutamchagua Obama Kuuonyesha Ulimwengu Kuwa Marekani Ni ya Kila Mtu.*** na sisi tunasema*** Haijalish Kama Ataleta Maendeleo au la! Tutamchagua LOWASA Kutoka UKAWA Kuuonyesha Ulimwengu Kuwa Tanzania Siyo ya ccm Pekee. Tuma ujumbe huu kwa wadau wasiopungua hamsini ili kuleta mabadiliko ya kweli. Lowasa oyeeeeee. Samahani kama utakwazika Lkn Tunaonesha Uzalendo Kwa Taifa Letu LA miaka 54 ya Uhuru likipitwa Na Kenya iliyochelewa kupata Uhuru kimiundo mbinu, elimu, utalii, kilimo, Katiba Mpya, Na hata Rwanda iliyotoka vitani inatupita sisi tuliojaliwa rasilimali adimu duniani.
ulimbukeni wa mabadiliko unakumaliza
uchambuzi wako mkuu umekwenda shule
Lowasa hawezi kutudanganya tena tushastuka siye kitambo aende zake wala hatudanganyiki kabisa mwizi tu huyu.
Naomba muelewe kitu kimoja. Lowassa sio mgonjwa.
Lowassa ni mzima sana, na huu ugonjwa anautumia kama kisingizio ili asihutubie muda mrefu jukwaani.
Lowassa kama angekua hajiwezi asingepanda jukwaani halafu ahutubie dakika tatu dodoma
Lowassa kama angekua mgonjwa asingehutubia dakika saba tu kwenye siku yake kubwa ya ufunguzi
Lowassa haumwi ila anasingizia ugonjwa ili asihutubie muda mrefu kwa sababu zifuatazo:
Hawezi kumbuka kitu cha kutuambia
Hawezi kemea ufisadi
Hawezi kemea rushwa
Hawezi kemea ugaidi
Hawezi kemea uhalifu
Hawezi jua ilani ya chama
Hawezi sema ataukuzaje uchumi
Hawezi jitetea tuhuma zinazomkabili
Hawezi jibu mashambulizi
Hawezi kataa kua yeye ni fisadi papa
Hawezi sema kapataje mali zake
Hawezi sema ukweli
Hawezi penda masikini
Hawezi poteza sauti yake kujieleza kwa mafala
Hawezi sema kwa nini lazima awe Rais
Hawezi nyooshea kidole mafisadi wenzake
Hawezi sema atafanyaje kazi
Hawezi sema kalifanyia nini taifa
Hawezi sema Zero ni Zero
Hawezi kumbuka jina la mke wake
Yaani wewe na akili zako, mtu anakuja kukuoba kazi halafu kwenye interview anaona uvivu kujieleza kwako anakuambia kasome website halafu unamkubali?
Lowassa katudharau sana watanzania, ametuona mafala ndio maana hana ha time ya kuongea na sisi
Katuona kama watoto wadogo kutupa pipi na kutuahidi baiskeli mpya
Amka mtanzania ujitambue
Tunahitaji mtu atakaetuambia yeye mwenyewe kwa kinywa chake kwa nini tumchague
Ukawa wanatuletea sinema ya kihindi
Hawa friends of Lowasa wamelipwa kufanya counter attack!
Naona ktk kila thread wanatokea fasta kudiscourage wanaoleta topic zinazoleta mjadala juu ya udhaifu wa mgombea wao!
Ni ile hali aliyosema mkapa, juu ya mashabiki Hawa wa Lowasa!