Ni dakika 5 za Lowassa

Ni dakika 5 za Lowassa

Afya inatoka kwa Allah pekee kama hayo mabaya uliyoyasema hapo juu yametoka moyoni basi hakika na wewe utalipwa hapahapa duniani siku zi mbali sana

Ukweli siku zote unakuwa ni ubaya kwa wasioutaka - kumbuka hilo.
 
Naomba muelewe kitu kimoja. Lowassa sio mgonjwa.

Lowassa ni mzima sana, na huu ugonjwa anautumia kama kisingizio ili asihutubie muda mrefu jukwaani.

Lowassa kama angekua hajiwezi asingepanda jukwaani halafu ahutubie dakika tatu dodoma

Lowassa kama angekua mgonjwa asingehutubia dakika saba tu kwenye siku yake kubwa ya ufunguzi

Lowassa haumwi ila anasingizia ugonjwa ili asihutubie muda mrefu kwa sababu zifuatazo:

Hawezi kumbuka kitu cha kutuambia

Hawezi kemea ufisadi
Hawezi kemea rushwa
Hawezi kemea ugaidi
Hawezi kemea uhalifu
Hawezi jua ilani ya chama
Hawezi sema ataukuzaje uchumi
Hawezi jitetea tuhuma zinazomkabili
Hawezi jibu mashambulizi
Hawezi kataa kua yeye ni fisadi papa
Hawezi sema kapataje mali zake
Hawezi sema ukweli
Hawezi penda masikini
Hawezi poteza sauti yake kujieleza kwa mafala
Hawezi sema kwa nini lazima awe Rais
Hawezi nyooshea kidole mafisadi wenzake
Hawezi sema atafanyaje kazi
Hawezi sema kalifanyia nini taifa
Hawezi sema Zero ni Zero
Hawezi kumbuka jina la mke wake

Yaani wewe na akili zako, mtu anakuja kukuoba kazi halafu kwenye interview anaona uvivu kujieleza kwako anakuambia kasome website halafu unamkubali?

Lowassa katudharau sana watanzania, ametuona mafala ndio maana hana ha time ya kuongea na sisi

Katuona kama watoto wadogo kutupa pipi na kutuahidi baiskeli mpya

Amka mtanzania ujitambue

Tunahitaji mtu atakaetuambia yeye mwenyewe kwa kinywa chake kwa nini tumchague

Ukawa wanatuletea sinema ya kihindi


uchambuzi wako mkuu umekwenda shule
 
Lowassa kutokemea ufisadi, rushwa na uhalifu, hayo ni magonjwa makubwa ambayo tayari anayo.
 
Teh teh mipoooooooooooooooov inakutoka na bado.........wazee wa kujenga reli kwa kiwango cha lami kazi mnayo...wazee wa msituadhibu lazima muombe poo............... makunguni mtajibeba...............

Ccm hoiiiiiiiiiii
 
Itabid tuseme msemo mmoja wa marekani ** Haijalishi Kama Ataleta Maendeleo au la! Tutamchagua Obama Kuuonyesha Ulimwengu Kuwa Marekani Ni ya Kila Mtu.*** na sisi tunasema*** Haijalish Kama Ataleta Maendeleo au la! Tutamchagua LOWASA Kutoka UKAWA Kuuonyesha Ulimwengu Kuwa Tanzania Siyo ya ccm Pekee. Tuma ujumbe huu kwa wadau wasiopungua hamsini ili kuleta mabadiliko ya kweli. Lowasa oyeeeeee. Samahani kama utakwazika Lkn Tunaonesha Uzalendo Kwa Taifa Letu LA miaka 54 ya Uhuru likipitwa Na Kenya iliyochelewa kupata Uhuru kimiundo mbinu, elimu, utalii, kilimo, Katiba Mpya, Na hata Rwanda iliyotoka vitani inatupita sisi tuliojaliwa rasilimali adimu duniani.

Habari muruuuuwaaaaaaaa
 
Lowasa hawezi kutudanganya tena tushastuka siye kitambo aende zake wala hatudanganyiki kabisa mwizi tu huyu.

Aende zake wapi tena wakati ashawaachia CCM yenu!? Tangu lini umekuwa UKAWA ama CHADEMA? Umeiona tuti ya Singinda!?
 
Naomba muelewe kitu kimoja. Lowassa sio mgonjwa.

Lowassa ni mzima sana, na huu ugonjwa anautumia kama kisingizio ili asihutubie muda mrefu jukwaani.

Lowassa kama angekua hajiwezi asingepanda jukwaani halafu ahutubie dakika tatu dodoma

Lowassa kama angekua mgonjwa asingehutubia dakika saba tu kwenye siku yake kubwa ya ufunguzi

Lowassa haumwi ila anasingizia ugonjwa ili asihutubie muda mrefu kwa sababu zifuatazo:

Hawezi kumbuka kitu cha kutuambia

Hawezi kemea ufisadi
Hawezi kemea rushwa
Hawezi kemea ugaidi
Hawezi kemea uhalifu
Hawezi jua ilani ya chama
Hawezi sema ataukuzaje uchumi
Hawezi jitetea tuhuma zinazomkabili
Hawezi jibu mashambulizi
Hawezi kataa kua yeye ni fisadi papa
Hawezi sema kapataje mali zake
Hawezi sema ukweli
Hawezi penda masikini
Hawezi poteza sauti yake kujieleza kwa mafala
Hawezi sema kwa nini lazima awe Rais
Hawezi nyooshea kidole mafisadi wenzake
Hawezi sema atafanyaje kazi
Hawezi sema kalifanyia nini taifa
Hawezi sema Zero ni Zero
Hawezi kumbuka jina la mke wake

Yaani wewe na akili zako, mtu anakuja kukuoba kazi halafu kwenye interview anaona uvivu kujieleza kwako anakuambia kasome website halafu unamkubali?

Lowassa katudharau sana watanzania, ametuona mafala ndio maana hana ha time ya kuongea na sisi

Katuona kama watoto wadogo kutupa pipi na kutuahidi baiskeli mpya

Amka mtanzania ujitambue

Tunahitaji mtu atakaetuambia yeye mwenyewe kwa kinywa chake kwa nini tumchague

Ukawa wanatuletea sinema ya kihindi

Hawa friends of Lowasa wamelipwa kufanya counter attack!
Naona ktk kila thread wanatokea fasta kudiscourage wanaoleta topic zinazoleta mjadala juu ya udhaifu wa mgombea wao!

Ni ile hali aliyosema mkapa, juu ya mashabiki Hawa wa Lowasa!
 
LOWASA tegemeo LA WENGI walioongea MASAA 3 mbona hawajabadilisha chochote......hali ibazidi kuwa mbaya
 
Inaumiza unapotia ushawishi mwingi kuwashawishi watu wawe upande wako lakini wao wanakuwa waelewa zaidi yako/ wanabaki katika msimamo wao tu
 
Alimchelemaa......×2! Siku hiyo atakuwa chaliii! Mthee wa mamvi akiwa anaingia ikuluu. Binadamu kwa nini mnashadadia magonjwa?? Kunamtu anayependa kuugua?? Acheni hizo!
 
Hawa friends of Lowasa wamelipwa kufanya counter attack!
Naona ktk kila thread wanatokea fasta kudiscourage wanaoleta topic zinazoleta mjadala juu ya udhaifu wa mgombea wao!

Ni ile hali aliyosema mkapa, juu ya mashabiki Hawa wa Lowasa!

Sawa yote mnayosema,mgonjwa,mzima,hawezi lakini sisi tutamchagua Lowassa huyo huyo.
 
Back
Top Bottom