EXCLUSIVE:
Mahojiano maalum na mwanasheria Alex Massaba anayewatetea wananchi waliokamatwa katika vurugu za uchaguzi mdogo tarehe 16 Februari.
Aeleza kuwa watu watatu wako wanaendelea kushikiliwa na polisi kituo cha Oysterbay wakiwa na majeraha ya risasi. Pia ameeleza kuwa jinsi wateja wake...
Leo mbunge wa Ubungo (CHADEMA) Saed Kubenea alikuwa na mkutano na waandishi wa habari na ameeleza kuwa hana mpango wa kukihama chama chake cha Chadema na kwamba hana bei bali kinachoendelea ni propaganda za CCM ili wasiulizwe maswali magumu.
Katika kujenga hoja, Kubenea ameainisha mapato ya...
Mtoto Grace amezaliwa na ugonjwa huu na ameugua saratani hii ya ngozi tokea ana miezi miwili.
Hivi sasa ametengwa na sehemu ya familia na mama yake mzazi ndiyo anampigania mwanae ambaye ana ugonjwa huu wa saratani ya ngozi ambayo imeshaathiri sehemu kubwa ya mwili wake ikiwemo uso wake.
Zaidi...
Baada ya kutamba na kibao chake kipya 'Seduce Me', msanii AliKiba alipata fursa ya kubadilishana machache na Kwanza TV.
Mahojiano kamili iko hapa:
Kwanza TV - itaendelea kukuletea mahojiano mengine mengi exclusive.
Mkuu tumeshapeleka maombi Tanroads lakini hatujapewa jibu mpaka sasa. Tunashukuru kwa kuuliza hili.
Tukipata jibu tutaliweka hadharani, usiwe na shaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
UPDATE:
Tulitaka kujua kutoka Waziri wa Ardhi William Lukuvi kama wananchi wanabomolewa wana hati miliki halali inayotambuliwa na Wizara yake, basi inakuwa vipi leo wanabomolewa bila fidia na kuitwa wavamizi?
Lakini Waziri alikataa kuongelea hili suala la Bomoabomoa bila kusikiliza swali
Ilikuwa ni simanzi na vilio kwa wakazi wa Kimara Suka wiki iliyopita baada ya baadhi ya nyumba kubomolewa na watu wanaodaiwa kutoka TANROADS.
Wakazi tuliowahoji walionyesha kusononeka na pia kukata tamaa huku wengi wakikiri hawana pa kwenda na wamelazimika kulala nje na familia zao. Kwa mujibu...
Kwanza TV inawaletea makala maalum na tunaendelea kufuatilia kesi hii.
RIPOTI MAALUM: Wananchi wadai TANROADS iliwapa notisi ya siku 30 wabomoe nyumba zao kwa mikono yao wenyewe, wakishindwa watafikishwa mahakamani. Wananchi waamua kuishtaki Serikali Mahakama ya Ardhi. Vikongwe waongea ya...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira na Muungano, Mh. January Makamba katika mahojiano maalum na Kwanza TV ameeleza kuhusu uamuzi wake wa 'kupotea' kwenye mitandao ya kijamii mara tu baada ya Uchaguzi Mkuu, 2015.
Pia asema katika vitu vinavyomshangaza ni kuendelea kuhusishwa yeye...
KWANZA TV TUMEULIZA:
Kwa kurejea ripoti ya tume iliyoshughulikia sakata la mchanga na kukabidhiwa Rais Magufuli, je, CCM inakiri kuwa ndiyo iliyotuangusha kama Taifa kwa kutuingiza kwenye mikataba mibovu ya madini?
Humphrey Polepole kajibu hivi:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.