Kwanza TV
Member
- May 2, 2017
- 33
- 69
EXCLUSIVE:
Mahojiano maalum na mwanasheria Alex Massaba anayewatetea wananchi waliokamatwa katika vurugu za uchaguzi mdogo tarehe 16 Februari.
Aeleza kuwa watu watatu wako wanaendelea kushikiliwa na polisi kituo cha Oysterbay wakiwa na majeraha ya risasi. Pia ameeleza kuwa jinsi wateja wake walioshikiliwa na polisi wanauguza majeraha huku wakili huyu akidai kuwa hawajapata matibabu ya maana mpaka sasa.
Mwakili amesisitiza kuwa wasipopelekwa mahakamani jumatatu watafungua kesi mahakama kuu (Habeas Corpus) dhidi ya Polisi na Serikali
HEBU MSIKILIZE:
[HASHTAG]#KwanzaHabari[/HASHTAG]
Mahojiano maalum na mwanasheria Alex Massaba anayewatetea wananchi waliokamatwa katika vurugu za uchaguzi mdogo tarehe 16 Februari.
Aeleza kuwa watu watatu wako wanaendelea kushikiliwa na polisi kituo cha Oysterbay wakiwa na majeraha ya risasi. Pia ameeleza kuwa jinsi wateja wake walioshikiliwa na polisi wanauguza majeraha huku wakili huyu akidai kuwa hawajapata matibabu ya maana mpaka sasa.
Mwakili amesisitiza kuwa wasipopelekwa mahakamani jumatatu watafungua kesi mahakama kuu (Habeas Corpus) dhidi ya Polisi na Serikali
HEBU MSIKILIZE:
[HASHTAG]#KwanzaHabari[/HASHTAG]