Kubenea: Kweli kwa ulaji kama huu ni rahisi mtu kuachia ubunge? Yaani kirahisi rahisi tu?

Kwanza TV

Member
May 2, 2017
33
69
Leo mbunge wa Ubungo (CHADEMA) Saed Kubenea alikuwa na mkutano na waandishi wa habari na ameeleza kuwa hana mpango wa kukihama chama chake cha Chadema na kwamba hana bei bali kinachoendelea ni propaganda za CCM ili wasiulizwe maswali magumu.

Katika kujenga hoja, Kubenea ameainisha mapato ya mbunge na amehoji je mtu anaweza kuachia nafasi kama hii kirahisirahisi?

Hebu msikilize:

 
Kama hoja ndio hiyo atueleze na Nyalandu walimlipa bei gani....kua zwazwa kama Kubenea na Chadema yake inataka moyo
 
Nyalandu pia alinunuliwa aiseeee.. Haiwezekani aache ubunge na mapesa yote hayo aende Chadema, lazima biashara ya kumnunua ya utumwa ilifanyika..!!
 
Swala la Nyalandu lina uhusiano wa moja kwa moja na Madhila ya Mhe.Lissu wala siamini kama kuna Biashara ya utumwa hapo na isitoshe nahisi anajiamini jimboni anarudi hata kama ni kwa tiketi ya TLP kwa hiyo alienda likizo tu bungeni anarudi!
 
Ukitoka ccm ukaenda chadema wewe ni mzalendo wa taifa lako Ila ukitoka chadema ukaenda ccm wewe umenunuliwa hahaa hamuwezi kuwa hamjalewa
 
Swala la Nyalandu lina uhusiano wa moja kwa moja na Madhila ya Mhe.Lissu wala siamini kama kuna Biashara ya utumwa hapo na isitoshe nahisi anajiamini jimboni anarudi hata kama ni kwa tiketi ya TLP kwa hiyo alienda likizo tu bungeni anarudi!
Chama nuksi hiki, utasikia mgombea wa CCM amepata kura 10,000 na mpinzani wake kura 3,000. Ajabu ni kuwa wapiga kura wote ni 7,000.
 
Chadema imekosa direction. Badala ya kuweka sera zao hapa wanatueleza biashara ya siasa wanayopiga. Niliwambia hawa jamaa wanafanya biashara ya siasa. Hawana nia ya musaidia wananchi. 2020. Ondoeni wote hao.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom