Majs
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 232
- 515
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira January Makamba amesema zaidi ya ekari 2500 za hifadhi ya mazingira nchini zinateketea kila siku na kusababisha mabadiliko ya tabia nchi pamoja na kuharibu vyanzo vya maji.
Makamba ametoa kauli hiyo Jijini DSM wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maadhimisho ya siku ya mazingira duniani ambayo kitaifa itafanyika wilaya ya Butiama mkoani Mara ili kuenzi mchango wa Hayati baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika utunzaji wa mazingira.
Makamba ametoa kauli hiyo Jijini DSM wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maadhimisho ya siku ya mazingira duniani ambayo kitaifa itafanyika wilaya ya Butiama mkoani Mara ili kuenzi mchango wa Hayati baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika utunzaji wa mazingira.