Asante sana The consult,nimekupata vizuri,samahani Nami naweza kupata sample ya andiko la mradi?nimekuwa nikifikiria sana namna ya kuandika andiko la mradi
Wadau Habari za muda huu, mimi ni graduates wa chuo na ni Mwl wa Sekondari katika wilaya moja hapa Tanzania.
Nimekuwa interested kutatua matatizo ya jamii inayonizunguka kuliko kuendelea kuisubiri serikali pekee lkn pia kutumia ujuzi kiasi nilionao katika uandishi wa grant proposal kutafuta...
Kwanini ushindwe kutoa taarifa mkuu?Mimi mwanamkke wangu alicheet na akakiri kosa.niliyafikisha kwao na nipo nae.siku nikiona bado anavidalili tuu vya kuendelea na tabia hiyo hata nisipohakikisha anaondoka mazima.simuheshimu tena kama mwanzo..
Wadau habari za wakati huu?
Naomba ushauri kuna jambo linanitatiza.
Miaka kadhaa iliyopita nilipanga nyumba moja hivi hapa mjini, mwenye nyumba ile alikuwa ni rika langu na mkewe pia yaani vijana, wakati huo wao wana mtoto mmoja. Niliishi nao vizuri tuu, japo mume sikuwa nae karibu zaidi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.