Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,464
- 6,510
Tulia na mkeo nyumbani acha kuwa Baba huruma, isitoshe hujui Mume wake alifariki kwa ugonjwa gani.
Nakupenda sana, mleta mada unagawa mwili wako km karanga.Ukiijua thamani yako daima kuna mambo unaona kabisa sio size yako
Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
Nashukuru mkuuMkuu kwa ulichoaandika nahisi njaa imepanda mpaka kichwani kama si njaa basi unaendesha na kichwa cha chini
Jitafakari kabla hujaamua
Asante, nakupenda piaNakupenda sana, mleta mada unagawa mwili wako km karanga.
Huyo akaolewe mkuu.Wadau habari za wakati huu? Naomba ushauri kuna jambo linanitatiza.
Miaka kadhaa iliyopita nilipanga nyumba moja hivi hapa mjini.mwenye nyumba ile alikuwa ni rika langu na mkewe pia yaani vijana,wakati huo wao wana mtoto mmoja. Niliishi nao vizuri tuu,japo mume sikuwa nae Karibu zaidi ya tuu ni baba mwenye nyumba wangu,ila mkewe alikuwa mkarimu sana kwangu.imepita miaka kadhaa tangu nihame pale nakuja kutana na huyo dada,ananipa taarifa mumewe alifariki na ndugu wa mume walimfukuza kutoka katika nyumba hiyo kwani kumbe ilikuwa ni ya urithi. Tumekuwa na mawasiliano ya Karibu ya simu kama mtu na shemejie.wakuu tatizo huyu bibie anataka nimpe raha, huku akijua fika sitamuoa kwani nina familia. Nipo njia panda nimle au nimpotezee?je nikimla afu nikamuacha nitakuwa nimemsaidia kumpunguzia ukame au nitamuumiza?
Ushauri tafadhali
Kama hataki nipe mieWadau habari za wakati huu? Naomba ushauri kuna jambo linanitatiza.
Miaka kadhaa iliyopita nilipanga nyumba moja hivi hapa mjini.mwenye nyumba ile alikuwa ni rika langu na mkewe pia yaani vijana,wakati huo wao wana mtoto mmoja. Niliishi nao vizuri tuu,japo mume sikuwa nae Karibu zaidi ya tuu ni baba mwenye nyumba wangu,ila mkewe alikuwa mkarimu sana kwangu.imepita miaka kadhaa tangu nihame pale nakuja kutana na huyo dada,ananipa taarifa mumewe alifariki na ndugu wa mume walimfukuza kutoka katika nyumba hiyo kwani kumbe ilikuwa ni ya urithi. Tumekuwa na mawasiliano ya Karibu ya simu kama mtu na shemejie.wakuu tatizo huyu bibie anataka nimpe raha, huku akijua fika sitamuoa kwani nina familia. Nipo njia panda nimle au nimpotezee?je nikimla afu nikamuacha nitakuwa nimemsaidia kumpunguzia ukame au nitamuumiza?
Ushauri tafadhali
DuuuTuliza kiboro disa chako ndoani mkuu. Hivyo tu