jiwe la majiwe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 2,537
- 1,586
Serikali ikubali tuu haina hela,zile billion 200 ninazoweza kuzitoa hata sasa hivi ziko wapi..??kwa maoni yangu naona ni sawa kwa kiasi fulani tukiachana na habari za ajira mpya. Mwalimu mwenye shahada ya uzamili kuendelea kufundisha shule ya msingi ni kumdhalilisha. waende hatua ya juu zaidi wakafundishe Secondari.