- Thread starter
- #21
Hahaha mkuuplz hayo matatizo nimesomea naomba namba ya huyo dada kwanza
Hahaha mkuuplz hayo matatizo nimesomea naomba namba ya huyo dada kwanza
Swali la msingi sanaUnafahamu mume wake amekufa kwa ugonjwa gani? Jiheshimu mkuu
UbarikiweUjumbe umepenya
na wewe unatamu mkuu ? rekebisha kichwa cha habari wanaume huwa hawaandiki hivyo
Me nilivyosoma uzi nilijua ni ke mpaka hapo mwisho anaposema mume wake alifarikina wewe unatamu mkuu ? rekebisha kichwa cha habari wanaume huwa hawaandiki hivyo
Wewe ni mwanaume? Jando ulipita?Wadau habari za wakati huu? Naomba ushauri kuna jambo linanitatiza.
Miaka kadhaa iliyopita nilipanga nyumba moja hivi hapa mjini.mwenye nyumba ile alikuwa ni rika langu na mkewe pia yaani vijana,wakati huo wao wana mtoto mmoja. Niliishi nao vizuri tuu,japo mume sikuwa nae Karibu zaidi ya tuu ni baba mwenye nyumba wangu,ila mkewe alikuwa mkarimu sana kwangu.imepita miaka kadhaa tangu nihame pale nakuja kutana na huyo dada,ananipa taarifa mumewe alifariki na ndugu wa mume walimfukuza kutoka katika nyumba hiyo kwani kumbe ilikuwa ni ya urithi. Tumekuwa na mawasiliano ya Karibu ya simu kama mtu na shemejie.wakuu tatizo huyu bibie anataka nimpe raha, huku akijua fika sitamuoa kwani nina familia. Nipo njia panda nimle au nimpotezee?je nikimla afu nikamuacha nitakuwa nimemsaidia kumpunguzia ukame au nitamuumiza?
Ushauri tafadhali
Usimle. Wacha amle yule ambae atakuwa tayari kumuoa. Asante kwa kutushirikishaWadau habari za wakati huu? Naomba ushauri kuna jambo linanitatiza.
Miaka kadhaa iliyopita nilipanga nyumba moja hivi hapa mjini.mwenye nyumba ile alikuwa ni rika langu na mkewe pia yaani vijana,wakati huo wao wana mtoto mmoja. Niliishi nao vizuri tuu,japo mume sikuwa nae Karibu zaidi ya tuu ni baba mwenye nyumba wangu,ila mkewe alikuwa mkarimu sana kwangu.imepita miaka kadhaa tangu nihame pale nakuja kutana na huyo dada,ananipa taarifa mumewe alifariki na ndugu wa mume walimfukuza kutoka katika nyumba hiyo kwani kumbe ilikuwa ni ya urithi. Tumekuwa na mawasiliano ya Karibu ya simu kama mtu na shemejie.wakuu tatizo huyu bibie anataka nimpe raha, huku akijua fika sitamuoa kwani nina familia. Nipo njia panda nimle au nimpotezee?je nikimla afu nikamuacha nitakuwa nimemsaidia kumpunguzia ukame au nitamuumiza?
Ushauri tafadhali