Recent content by KUSHOKA

  1. KUSHOKA

    Nimekutana na kitu cha ajabu leo, kimenishtua mimi na nilio kuwa nao

    Kuna babu #Nyakanazi yupo vizuri mpaka kesho.... mtembelee
  2. KUSHOKA

    Makinika! Sio kila changu ni binadamu

    Mstaafu mstaarabu kabisa
  3. KUSHOKA

    Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu hamkujipanga?

    Mi niliona miyeyusho nikaachana nao
  4. KUSHOKA

    Soko la Kariakoo lateketea kwa moto

    Ajari za moto kama huu zitaishia kuchukuliwa kama ajali zingine tu.... tujitathimini
  5. KUSHOKA

    Kitila Mkumbo: Kikwete mweledi pekee mchakato wa Katiba

    Hili andiko ukilileta hapa Leo unaliona ukakasi wake
  6. KUSHOKA

    TBC imemuita nani hamnazo?

    Mambo ya mwendazake yanaendelezwa huku
  7. KUSHOKA

    Job Ndugai bado una nafasi ya kutubu na kujirudi

    Mzee wetu huyu kakengeuka pakubwa sana... sema wakati utamhukumu tu maana muda ndiye hakimu wa haki na asiyevunja agano lake.
  8. KUSHOKA

    Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

    Mazoezi. Vyakula lakini vyema uonane na wataalamu wa afya usikimbilie kutumia vumbi la Kongo la dawa zingine zinazofanana na hizo
  9. KUSHOKA

    Wananchi, Wanafunzi na Zimamoto washirikiana kuzima moto Mlima Kilimanjaro

    Mamlaka husika zihusike kikamilifu.. asubuhi Mr Allan Kijazi anahojiwa na Azam TV wala haoneshi kushitushwa na hali inayoendelea... wajitolee na wakawajibike
  10. KUSHOKA

    Kijana unayeanza maisha usinunue pikipiki kama usafiri wako, utaondoka mapema

    Uko sahihi.... pikipiki zinatupumbaza sana
  11. KUSHOKA

    Diamond Platnumz kawapeleka wafanyakazi wake Wasafi Village baada ya kufungiwa kwa siku 7

    Wacha wapumzike kisela na si mbaya wakikulana maana wote wakubwa hao
  12. KUSHOKA

    Ukifanya Kazi hizi mwisho lazima ufe kwa ngoma (75%)

    Ongezea na wahudumu wa gesti ama lodge na zaidi hotel
Back
Top Bottom