hunchback
JF-Expert Member
- Nov 10, 2014
- 658
- 289
Mmeanzisha mfumo mzuri sana wa wanufaika wa mikopo kuhakiki taarifa zao kwa njia ya mtandao.
Tatizo ni kuwa mtu ukitaka kuomba taarifa fupi ya malipo 'statement' haipatikani. Nilipoomba mara ya kwanza nilipata ujumbe nisubiri baada ya masaa 72, ikapita wiki. Nikajaribu kuomba tena sasa nimepewa namba ya foleni ambayo toka nimepata ni wiki sasa na foleni ya huduma haijasogea hata mtu mmoja.
Wazo ni zuri sana lakini utekelezaji naona uko duni, ni kama vile mmeweka mfumo ambao hauko tayari kutoa baadhi ya huduma.
Tatizo ni kuwa mtu ukitaka kuomba taarifa fupi ya malipo 'statement' haipatikani. Nilipoomba mara ya kwanza nilipata ujumbe nisubiri baada ya masaa 72, ikapita wiki. Nikajaribu kuomba tena sasa nimepewa namba ya foleni ambayo toka nimepata ni wiki sasa na foleni ya huduma haijasogea hata mtu mmoja.
Wazo ni zuri sana lakini utekelezaji naona uko duni, ni kama vile mmeweka mfumo ambao hauko tayari kutoa baadhi ya huduma.