Watu wanaompenda JPM wengi wao wako vijijini na wale walioko mjini wengi wao shule haikukaa vizuri kichwani na ndiyo wamejazana facebook kupost Majungu, na ujinga ujinga
Msaada kwa anayejua kampuni nzuri ya basi Dar to Arusha, inayosafirisha mizigo kwa usalama na kwa muda sahihi, na ofisi zao zinapopatikana, nina mzigo kama kilo 10 unahitajika haraka sana ufike Arusha
Kwa taarifa yako huyo hill water ameshika kuanzia Bagamoyo hadi Tegeta ukienda huko Mbagala, gongo la Mboto, Chanika watu hawajui kama kuna maji yanaitwa hill ata mm niliyajua baada ya kukaa Bunju kama mwezi mmoja hivi
Nimekumbuka msange Tabora OP Kikwete 2015, E coy chini ya OC Jomo, na Sir major Mudo, kuna siku tulikuwa tunapanga tanuru ile tunamaliza akapita luteni mmoja hivi jina limenitoka akatwambia hilo eneo tulilo panga Tanuri hapatakiwi kuchomea hapo tofari kwahiyo tupangue tuhamishe tofari na tupange...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.