Kurutu wa Mungu
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 366
- 579
Huo ni uongo mtupu ndugu yangu nyoka akimuua mwenzake anamla nimesha shuhudia live hii kitu, nikiwa kijijini nachunga ng'ombeMkuu naskia nyoka wakipigana na mmojawapo anaona mwezie anakata roho hukimbia haraka kutafuta dawa na kumponya nyoka hiyo. Nyoka ni mponyaji hata Bible Wana wa Israel enzi za muda waliambiwa waangalie sanamu ya nyoka ndio watapona. Wale ambao hawakuiangalia walikufa.
Sent using Jamii Forums mobile app
