Acha uongo kwa Tanzania hasa ukiondoa visiwani Zanzibar ....asilimia kubwa ya watu ukristu au uislamu jina ...wengi wanaabudu dini zao.za asili...ukristo na uislamu ni.kama utambulisho tu. so hakuna kwenye uchungu na dini Kihivyo hadi ambague mtu. ukiona hivyo ujue imetengenezwa
Unapiga simu katika muda sahihi kuulizia Majibu yako. Yaani kuulizia huduma ambayo umeilipia. Customer anakujibu rahisi tu kuwa Majibu leo yamechelewa na hapo hakuna lugha ya kuomba msamaha yaani samahani yaani utadhani wewe mteja ni omba omba. . Unamuuliza sasa nitapata Majibu saa ngapi maana...
Kama kichwa cha habari hapo juu. Kwanza niwapongeze hapo maabara kwa kuweka namba za simu yaani customer care au kwa kizungu call center. Ili mwenye malalamiko au maswali apate Majibu.
Sasa basi hapa ndio kuna tatizo. Hawa watu wa kupokea simu kutuona sisi wateja kama wahalifu au tunapoteza...
Nianze Kwa haraka haraka kuna daraja la Mfugale. Soko la Ndugai.. Shule ya Jokate huko kisarawe.. Shule ya Juma Homera huko Tunduru ... Hospital ya.... Mtaa wa.... Na wengineo wengi... inakuwaje wanajipa haya majina au huyo anayewapa anawapa kwa kigezo gani. Maana mfano Ole Sabaya angejipa mtaa...
Au wanataka mpaka Rais aseme. Hivi kuna faida gani kuvaa barakoa mjini au maofisini halafu unapanda mwendokasi au daladala zilizojaa abiria bila kuwa na hewa safi.
Mamlaka husika kwanini wasiruhusu vibali vya muda kwa gari binafsi kubeba abiria kama daladala kuepusha Msongamano wa watu kwenye...
Anataka kupigwa mtu hapa. Haya mtatuletea majibu baadae. Ila hapo hakuna cha chumba wala kodi. Mtu ataliwa hela ya kodi. Kabla ya kupanga hakikisheni mna jua mmiliki halali wa hiyo nyumba. Msiie mkaletewa mmiliki fake.
Angalizo. Kwa jinsi wanafunzi wanavyo hangaika na hostel au vyumba vya...
Abiria wamejazana ubungo. Magari binafsi yapo tayari ubungo kupata vibali vya muda kama. Miaka yote ila wao LATRA wanasema hawana vidhibiti mwendo. Kifupi hawa watu hawakujipanga wakati inajulikana miaka yote issue ya December na shida ya usafiri. Lakini wao wako na magari yao binafsi kukamata...
Ngoja nianze Mombasa hataki kuitwa kenya yaani anataka ajitenge kabisa na kenya. Wenyewe wa nakwambia pwani si kenya..... Naendelea. Kenya imefukuzwa Somalia na wasomali wameweka vikosi vya jeshi mpakani. Kenya ina ugomvi na uganda wanagombea visiwa na sasa hivi wanagombea biashara ya maziwa...
Hivi hawa Latra kwanini wanakataa kutoa vibali vya muda kusafirisha abiria kwa ma. Bus yaliyokuwa yanasafirisha wanafunzi ikiwa shule zimefungwa . Kuna tatizo gani. Maana kwanza serikali utapata hela halal kwa watakaoomba hivyo vibali. Pia itaondoa usumbufu wa abiria hasa mida ya asubuhi na...
Marekebisho hayo yalifanywa na Mfalme wa saudia Mr Mohamed Salman.
Ili upate kibali cha kuoa mtoto aliye chini ya miaka 18 ni lazima upate kibali kutoka mahakama maalum na ijidhihirishe kuwa ndoa hiyo haitamuathiri au kumuumiza muolewa au muolewaji.
====
Saudi Arabia on Monday issued a de...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.