kupe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 1,035
- 326
Au wanataka mpaka Rais aseme. Hivi kuna faida gani kuvaa barakoa mjini au maofisini halafu unapanda mwendokasi au daladala zilizojaa abiria bila kuwa na hewa safi.
Mamlaka husika kwanini wasiruhusu vibali vya muda kwa gari binafsi kubeba abiria kama daladala kuepusha Msongamano wa watu kwenye magari.
Wao wanaona deal tu kukataa kutoa vibali kwa gari binafsi na kuzivizia zikipakia abiria na kuchukua rushwa. Tafadhali Rais, Waziri Mkuu iangalieni hii Latra.
Hasa katika kipindi hiki cha magonjwa. Asanteni
Mamlaka husika kwanini wasiruhusu vibali vya muda kwa gari binafsi kubeba abiria kama daladala kuepusha Msongamano wa watu kwenye magari.
Wao wanaona deal tu kukataa kutoa vibali kwa gari binafsi na kuzivizia zikipakia abiria na kuchukua rushwa. Tafadhali Rais, Waziri Mkuu iangalieni hii Latra.
Hasa katika kipindi hiki cha magonjwa. Asanteni