kupe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 1,035
- 326
Nianze Kwa haraka haraka kuna daraja la Mfugale. Soko la Ndugai.. Shule ya Jokate huko kisarawe.. Shule ya Juma Homera huko Tunduru ... Hospital ya.... Mtaa wa.... Na wengineo wengi... inakuwaje wanajipa haya majina au huyo anayewapa anawapa kwa kigezo gani. Maana mfano Ole Sabaya angejipa mtaa kule wilaya ya Hai au shule au barabara ... Na leo ije igundulike kuwa ni mharifu au jambazi na akafungwa itakuwaje hiyo shule au hospital itumie jina la mfungwa au mharifu.. Jambazi.. Mwizi...
Ushauri wangu majina yatolewe baada ya viongozi kustaafu au kufariki na kuthibitika pasipo shaka kuwa wapo safi.
Asante.
Ushauri wangu majina yatolewe baada ya viongozi kustaafu au kufariki na kuthibitika pasipo shaka kuwa wapo safi.
Asante.