Nauza Chumba + Vitu vyake Mwenge Mpakani

Nauza Chumba + Vitu vyake Mwenge Mpakani

Hakuna vitu vya thamani ya 380k hapo, acheni kumpotosha.... ingekuwa pamoja na kodi kwa hiyo pesa angalau.

Nyie laki 4 mnaichukulia poa eeh!
Sasa wananipotoshaje na mimi ndiye niliyenunua?

Mchanguo wa haraka nikivyonunua mimi, mwezi wa saba tar.28,2020!

1. Dodoro DODOMA QFL 5×6 nchi 10, 180,000/=

2. Kitanda mbao ngumu, 210,000/=

3. Meza ya kusomea 110,000/=

4. Kiti cello 15,000/=

5. Mtungi wa gas na gas yake (oryx 55,000/=)

Hapo sijagusa mapazia, sufuria, vyombo vya ndani, mashuka n.k!
Hapo tu unapata sh.ngapi?



Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
 
Sasa wananipotoshaje na mimi ndiye niliyenunua?

Mchanguo wa haraka nikivyonunua mimi, mwezi wa saba tar.28,2020!

1. Dodoro DODOMA QFL 5×6 nchi 10, 180,000/=

2. Kitanda mbao ngumu, 210,000/=

3. Meza ya kusomea 110,000/=

4. Kiti cello 15,000/=

5. Mtungi wa gas na gas yake (oryx 55,000/=)

Hapo sijagusa mapazia, sufuria, vyombo vya ndani, mashuka n.k!
Hapo tu unapata sh.ngapi?



Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
Ndio vyote 380k wow..... Ngoja nifanye mpango PM faster
 
Anataka kupigwa mtu hapa. Haya mtatuletea majibu baadae. Ila hapo hakuna cha chumba wala kodi. Mtu ataliwa hela ya kodi. Kabla ya kupanga hakikisheni mna jua mmiliki halali wa hiyo nyumba. Msiie mkaletewa mmiliki fake.

Angalizo. Kwa jinsi wanafunzi wanavyo hangaika na hostel au vyumba vya kupanga. Wala hakuhitaji kuja jf kutangaza. Tangazo hili angeliweka Magufuli hostel au mabibo au main campus angeshapata watu zaidi ya mia. Watanzania msipende sana bure au rahisi. Kuweni makini.
 
Sasa wananipotoshaje na mimi ndiye niliyenunua?

Mchanguo wa haraka nikivyonunua mimi, mwezi wa saba tar.28,2020!

1. Dodoro DODOMA QFL 5×6 nchi 10, 180,000/=

2. Kitanda mbao ngumu, 210,000/=

3. Meza ya kusomea 110,000/=

4. Kiti cello 15,000/=

5. Mtungi wa gas na gas yake (oryx 55,000/=)

Hapo sijagusa mapazia, sufuria, vyombo vya ndani, mashuka n.k!
Hapo tu unapata sh.ngapi?



Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
Hakuna meza ya 110,000 hapo
 
Anataka kupigwa mtu hapa. Haya mtatuletea majibu baadae. Ila hapo hakuna cha chumba wala kodi. Mtu ataliwa hela ya kodi. Kabla ya kupanga hakikisheni mna jua mmiliki halali wa hiyo nyumba. Msiie mkaletewa mmiliki fake.

Angalizo. Kwa jinsi wanafunzi wanavyo hangaika na hostel au vyumba vya kupanga. Wala hakuhitaji kuja jf kutangaza. Tangazo hili angeliweka Magufuli hostel au mabibo au main campus angeshapata watu zaidi ya mia. Watanzania msipende sana bure au rahisi. Kuweni makini.
Hofu ni Jambo zuri, lakini hofu pia ni udhaifu mkubwa sana, mkuu unapigwaje ukiwa na akili timamu, ukijua wazi kwamba Kodi inalipwa kwa contract Kati ya mpangaji na mwenye nyumba?

Pili, ukiwa na mashaka si unaamua kwenda hata serikali za mitaa, wakili au hata mahakamani kuhakikisha usalama wako?


Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
 
Hofu ni Jambo zuri, lakini hofu pia ni udhaifu mkubwa sana, mkuu unapigwaje ukiwa na akili timamu, ukijua wazi kwamba Kodi inalipwa kwa contract Kati ya mpangaji na mwenye nyumba?

Pili, ukiwa na mashaka si unaamua kwenda hata serikali za mitaa, wakili au hata mahakamani kuhakikisha usalama wako?


Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
Kuna dalili ya mtu kupelekwa kwa mwenye nyumba fake na kupigwa
 
Mkuu naomba nikutoe wasiwasi, nikuhakikishie tu kuwa hivyo vitu huwezi kupata mteja... kama huna haraka endelea kupiga picha utapata japo nauli ya kurudi mkoa.
 
Mkuu naomba nikutoe wasiwasi, nikuhakikishie tu kuwa hivyo vitu huwezi kupata mteja... kama huna haraka endelea kupiga picha utapata japo nauli ya kurudi mkoa.
Hahaha,madogo mna dharau sana nyie, yaani unahisi nauza kwa sababu sina nauli?

Yaani nilipe ada tu 7M kwa miezi 18, lakini nishindwe kupata 60,000/= ya nauli? Haujiongezi tu?

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom