Ninachounga mkono ni tamko lao kuwa mchakato haukuwa wa kidemokrasia, wana haki na wajibu wa kutuambia ukweli. Kipindi iliposemwa kikwete chaguo la mungu hakuna aliyepiga kelele leo wanaleta maoni tofauti inaonekana tatizo...
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Usitumie Nguvu mkuu, hayo mabaraza is ya kiimani, misamaha ya kodi hata waislam wanapata kwa taasisi zao. bado tunashauri waislamu muendeshe mambo yenu kwa gharama zenu.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Well said, na note kwa mtoa mada,kuna tofauti kati ya fundi na Engineer na Tanzania yetu haijui yupi atumike wapi...
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Acha wivu usio na msingi,kiukweli wale wanafunzi kupotea ni mpango wa serikali kutojua iliwapeleka kule ili waje kufanya nni kwa nchi hii after,wengi walikuja kushituka wako chuo na hakuna mpango wowote unaoendana na ushindani waliokuwa nao walikotoka,hakukua na mpango wowote wa kuwatumia baada...
Well said mkuu,ukiangalia zile scene za kariakoo huoni waislam tunaowajua bali wahuni tu ambao hata kueleza agenda iliyowapeleka pale ni utata. Mungu ibariki TZ.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.