Nimependa sana mlivyojibu vizuri! Niongezee kuainisha majukumu us jeshi ni haya yafuatayo; 1)kumwangamiza adui atakayevamia mipaka ya nchi yetu ardhini, angani, au majini
2)kulinda mipaka ya nchi yeti
3)kusaidia mamlaka za kiraia katika maafa mbalimbali yakitokea
4)kusaidia kurejesha amani...
Tatizo ni wateja wao pia! Siku moja nilikaa ktk bar moja kwa starehe zangu mara dogo kaja na tabia za kike anaomba nitoke nae tena anasema kabisa kazidiwa anahitaji mwanaume! nilimshushia kibano siyo kidogo akakimbia na mabaunsa wa pale wamesema hajawahi kurudi tena! wanaume tuliokamilika...
Napata shida sana na watu Wa aina yako! Lkn inawezekana ulikuwa hujui! Mie pia mwaka 2009 nlitapeliwa na jamaa anaitwa Dominick lkn nmesamehe hadi kesho nakutana nae! Kazi za jeshi jamani hazipatikani kwa njia hiyo, mtu akiamua anakupa nafasi lkn si kwa kutoa pesa! Pole sana, kama hutajali njoo...
Anakumbuka enzi zake! binafsi nadhan inafurahisha sana pia ni faraja ukikumbuka vitu ulivyofanya utotoni! pia nikikaa na kukumbuka matukio ya utotoni hufurahi na kucheka mwenyewe
Kwani ni asilimia ngapi ya vijana waliosoma UDSM? Hizo ni chuki hao kina zito,Mdee,Lissu(respect to them) wamesoma wapi? maada ni vijana wa Tanzania na siyo chuo walichosoma, wengi ni form four six na graduates!so kimsingi ni vijana wavivu! Hapo napata kujua pia wana wivu na majungu! tubadilike
Inawezekana kabisa! mimi nilishaenda kijiji karibu na maneromango jina nmesahau labda nikisoma document baadae walinipokea vizuri! ekari kumi za kuanzia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.