Nimetapeliwa na mdada wa TPDF, ushauri wenu tafadhari

Nimetapeliwa na mdada wa TPDF, ushauri wenu tafadhari

Usinloge hayo yamepta hata ss weng tumptia hayo lkn tukamlilia m/mungu mwisho Wa sku tuliombwa msamaha Na vdume hao Na naamin hata wale wasiopata kuniomba msamaha eidha wamepotelewa Na ktu chenye thaman zaid ya dhuluma waliyonifanyia au zaid ya dhuluma ile hata wengne maisha Yao wanahtaji msaada wangu hatakama wote tupoo makazn.kaka mlilie mungu hatakama Ni mwislam mtaje kristo naye atakulipa kwa wkt wake.punguza hasra,usiache kuomba mungu usichike. Mm namjua kristo utaonana naye tu in the way down
 
Msamehe Hugo Dada huenda naye ametapeliwa, kisa hiki kiliwai kunikuta wizara ya afya. Mke wangu alikuwa anafanya kazi kwa Dk Kairuki akatokea kazi Wizarani ilikuwa kuipata ni laki2 na ndani ya saamoja unapewa barua ya ajira na kuripoti kituo cha kazi. Yeye alifanikiwa lakini alitupwa kagera ilibidi kutoa laki tena kuletwa dar . haikuishia hapo naye akawingiza wengine wanne kwa njia hiyo waliofuata wawili hawakupata na fedha walishatoa , alichofanya ni kuwapeleka kwa anayeajiri na kutua mzigo , hawa watu wa mwisho huwa wanaliwa. Je , akikuonyesha mjeda aliyempa pesa utamdai hiyo rushwa?
 
Napata shida sana na watu Wa aina yako! Lkn inawezekana ulikuwa hujui! Mie pia mwaka 2009 nlitapeliwa na jamaa anaitwa Dominick lkn nmesamehe hadi kesho nakutana nae! Kazi za jeshi jamani hazipatikani kwa njia hiyo, mtu akiamua anakupa nafasi lkn si kwa kutoa pesa! Pole sana, kama hutajali njoo had i hapa dar umharibie yaishe
 
dada huyu anaitwa Tiba Abdallah ni askari JW, makao makuu JKT, nimaliza nae form four 2008 Nyanduga sec,mwaka jana alinipigia cmu kuwa kuna nafac za jw zimetoka nimtumie pesa na vyeti kwenye email,nikamtumia, hadi leo hii cmu hapokei sms hajibu nikipiga namba mpya akickia sauti yangu anakata facebook ameniblock, nifanye ndugu zangu nimloge,

Nifatilie makao makuu ya jeshi maana uthibitisho wa sms za m pesa upo,npo mkoani nifunge safari nikafatilie dar?,tafadhari watanzania nishaurini nimfanyeje mtu huyu, inaniuma kutapeliwa na mmtu ninaemfahamu na pesa yangu ni zaidi ya laki mbili wapendwa?

na ukome kabisa kutoa rushwa, RUSHWA NI ADUI WA HAKI SITATOA WALA KUPOKEA RUSHWA "AHADI YA MWANA TANU"
 
dada huyu anaitwa Tiba Abdallah ni askari JW, makao makuu JKT, nimaliza nae form four 2008 Nyanduga sec,mwaka jana alinipigia cmu kuwa kuna nafac za jw zimetoka nimtumie pesa na vyeti kwenye email,nikamtumia, hadi leo hii cmu hapokei sms hajibu nikipiga namba mpya akickia sauti yangu anakata facebook ameniblock, nifanye ndugu zangu nimloge,

Nifatilie makao makuu ya jeshi maana uthibitisho wa sms za m pesa upo,npo mkoani nifunge safari nikafatilie dar?,tafadhari watanzania nishaurini nimfanyeje mtu huyu, inaniuma kutapeliwa na mmtu ninaemfahamu na pesa yangu ni zaidi ya laki mbili wapendwa?

Mdogo wangu,pole sana,yapo mambo machache ya kutafakari,

1;TIba abdala ulimpa pesa ya rushwa, hongo takrima,au n pesa ya ufuatiliaji?

2;kama ulitumia mtandao wa cm kumlipa pesa maelewano yalikuwaje? Kwamba ikitokea amekwama atarudisha? O kiandacho kwa mganga hakirudi?

3:hyo njia nan aliwahi kuitumia(hasa kwenu) ukafanikiwa? Na je unadhani ulikuwa unatumia(alitumia) njia sahihi kupata kazi?

4;JWT ina sera ya kutafut kazi kwa mtindo huo? Kama ndiyo wapi imewndikwa? Na kama hapana huon kuwa hyo ni rushwa ulitoa?

5;tufanye watanzania wote wangetaka kupita jeshi kila mtu atafute askari ampe laki mbili, ww binafsi ungekuwa kiongozi ungechukua hatua ipi? Je haki ya wote kupata ajira sasa ingefuatwa?

6; umewahusisha wazazi wako, je nao walipata kazi kwa mtindo huo???

Kijana hebu jitetee kabla sheria ya jamhuri haijakutia hatiani kwa kosa la kupanga na Kutoa rushwa?
 
Back
Top Bottom