qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,382
Tulibatizwa tukiwa watoto, hatukujua nini maana ya ubatizo, tulifundishwa kipaimara tukiwa bado wachanga wenye kuamini kila mkubwa anachojua kuwa ni ukweli, JE sasa tumekuwa watu wazima haturuhusiwi kutaka kujua kwa undani ukweli wa imani yetu? Je ni nani atakae tufundiha ukweli huu?
Hapo kwenye read, hiki ndicho ninachokifanya. THANK YOU.
Kwahiyo ukishajua hivyo utabatizwa tena au ukijua ndivyosivyo ndo utahama dhehebu.