Sababu kubwa huwa ni uambukizi kwenye tezi dume (Prostate).
Nimeshawaona wagonjwa wa aina hiyo na kuwatibu. Cha muhimu kufika hospitali na kuonana na daktari afanye kipimo. Hicho unachodhani ni shahawa inaweza kuwa sio. Utapewa chupa hospitalini ambayo utaombwa kupeleka hicho kinachotoka...
Mtoa hoja inaonekana uelewa wako wa kazi za mbunge na watendaji wa halmashsuri hauko vizuri. Yaani ungejua anachotetea Mnyika pale bungeni ni kwaajili ya watanzania wote na kwa vizazi vijavyo ungemshukuru. Mnyika jembe letu lazima arudi mjengoni tena.
Unaanzia the 1st day of the last menstrual period.
Ili kujua tarehe ya matazamio unajumlisha 7 kwenye tarehe na kutoa 3 au kujumlisha 9 kwenye mwezi. Unapata tarehe ya matazamio kujifungua.
Mfano kama alianza period 20.04.2015, tarehe ya matazamio kujifungua itakuwa 27.01.2016. Maana yake mpaka...
Umri wa Ujauzito unaanza kuhesabiwa siku ya kwanza ya kuanza period ya mwanamke kabla ya kupata ujauzito.
Na ni wiki 40 +/- 2 mpaka kujifungua. Unanipata mkuu?
Kinachotakiwa kuelezwa kisayansi ni mechanism of action sio analogy.
Nakubaliana kabisa zinaa ina madhara kiafya ya mwili na saikolojia. Ninachoona hakipo sawa ni kuelezea jambo la kisayansi kwa kutumia mawazo yasiyo na uthibitisho.
Kwa mfano kusema acid iliyoko kwenye manii ndio inawalegeza...
Kuna mengi ya ukweli na mengi yasiyo na ukweli kisayansi katika maada hii. Ukisema manii inapanda kwenye mazima kwa mama anayenyonyesha hiyo unaielezeaje kisayansi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.