Nimeipokea hii kama suprise nlihisi kwamba anaweza kuwa hata ana masters ya kada flani.
Kweli janjajanja na wababaishaji ndo wana nyadhifa nyeti hapa nchini.
Mungu atusaidie what a confused and lost society.
Tanzania nchi yangu nakupenda kwa moyo woote.
Kwanza Mnyika hakushinda ndani ya CDM sema alibebwa,sasa kama kwenye chama tu alipigwa chini you can sense what comes
Mnyika atakuwa mbunge wa kwanza kufungua milango ya bunge.
Anaambatana na Mateja tuu, wasomi wengi hawataki hata kumsikia huyo.
Hizi ajira za Lumumba zinapatikanaje MKUU? Ninaweza kufanya Kaz kwa ufanisi sana kuliko mliopo.Makamanda hali ni mbaya sana kwa Mnyika jimbo la Kibamba, hii ni baada ya movement inayoendelea chini kwa chini ya wanachama wa Chadema Asilia na mgombea wao, wanasema ameamua kuwasaliti baada ya kutukuza mafisadi waliovamia chama.
Mikutano ya Mnyika imekosa watu, mbinu anayotumia sasa ni kupita majumbani akiambatana na mateja bila kuweka mikutano ya wazi tofauti na hapo awali.
Mnapiga kelele humu ila siasa ni mkakati
Tatzo lako unafikir kwa kutumia Masabur