zoeman
Member
- Feb 1, 2014
- 47
- 2
Habarini wanajamvi
Naomba kujuzwa upatikanaji wa mashamba ya kukodi na kununua huko rufiji uko vipi? Siku za nyuma nilianzisha thread ya mashamba ya kukodi huko ruvu, na napenda kuwashukuru sana wale waliotujuza wengi na taarifa za mashamba huko ruvu, nilikuja kufahamu kuwa shamba la kukodi Ruvu kwa ekari moja na laki moja na kununua na laki tano kwa ekari moja
kabla sijafunga safari na kwenda kuyacheki hayo mashamba huko Ruvu, nikasikia tetesi ya kuwa rufiji kuna mashamba mengi tu na ghalama ya kukodi ekari moja ni elfu ishirini na maji yanapatikana, hivyo yeyote yule mwenye ufahamu wa mashamba hayo ya Rufiji, tufahamishane vizuri kwa manufaa ya wengi hapa jamvini!!!!
Naomba kujuzwa upatikanaji wa mashamba ya kukodi na kununua huko rufiji uko vipi? Siku za nyuma nilianzisha thread ya mashamba ya kukodi huko ruvu, na napenda kuwashukuru sana wale waliotujuza wengi na taarifa za mashamba huko ruvu, nilikuja kufahamu kuwa shamba la kukodi Ruvu kwa ekari moja na laki moja na kununua na laki tano kwa ekari moja
kabla sijafunga safari na kwenda kuyacheki hayo mashamba huko Ruvu, nikasikia tetesi ya kuwa rufiji kuna mashamba mengi tu na ghalama ya kukodi ekari moja ni elfu ishirini na maji yanapatikana, hivyo yeyote yule mwenye ufahamu wa mashamba hayo ya Rufiji, tufahamishane vizuri kwa manufaa ya wengi hapa jamvini!!!!