BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
Unataka kukimbia majukumu eeeh?????
Hizo "nyakati" ngumu mnazitafuta wenyewe
Hizo "nyakati" ngumu mnazitafuta wenyewe
Na ultrasound je? Inagundua mimba ikiwa na wiki ngapi?
Utrasound hudetect pale bhcg levels zinapofika kuanzia 1000 (transviginal us)
Ila kama uligegeda tu tena siku ya hatari wiki 2 zilizopita utrasound haitoona kitu
Hongera baba kijacho
Siku nyingine utajifunza matumizi ya condom
Unazifahamu sheria za humu?
Kisa cha kusex nae siku za Hatar ulikua hujui😀
Kama huna cha kuchangia ni heri ukapiga kimya... matako yako
Eti unawezaje kuhesabu siku za ujauzito... Yaani mfano nimesex nae leo akiwa katika siku zake za hatari.. Je kama baada ya wiki mbili akija kuniambia ana mimba hiyo mimba itakua ni ya wiki mbili au!? Yaani swali langu la msingi MIMBA HUANZA KUHESABIWA SIKU NGAPI BAADA YA KUSEX.. Na pia kipimo cha utrasound kinaweza kudetect mimba inapofikia muda gani?
MSAADA WENU maana nipo latika wakati mgumu sana...
Mjomba vp kuhusu ukimwi,gonorhea, kaswende na mengine mpaka mimba ikutie kimuhemuhe?yann unaenda dry mkuu
Wadanganye wasiojua kusoma na kuelewa.Ni mpenz wng wa muda mrefu na tunaaminiana sana
Umri wa Ujauzito unaanza kuhesabiwa siku ya kwanza ya kuanza period ya mwanamke kabla ya kupata ujauzito.
Na ni wiki 40 +/- 2 mpaka kujifungua. Unanipata mkuu?
Unaanzia the 1st day of the last menstrual period.
Ili kujua tarehe ya matazamio unajumlisha 7 kwenye tarehe na kutoa 3 au kujumlisha 9 kwenye mwezi. Unapata tarehe ya matazamio kujifungua.
Mfano kama alianza period 20.04.2015, tarehe ya matazamio kujifungua itakuwa 27.01.2016. Maana yake mpaka tarehe hiyo inakuwa imetimia wiki 40 kamili.
Asante sana mkuu... nashkuru sana