ukisoma ile case ya Machano ambapo professor Shivji alikiwa kama amicus querie,mwenyewe alisema kabisa ndani ya jamhuri ya muungano hatuna nchi inayoitwa Zanzibar,wala hakuna uhain unaoweza tendeka juu yake maana gains Jeshi.
K
Kuna kitu kwenye administrative law kinaitwa Natural justice,Kuna kipengele cha hear each side,na PIA kwenye katiba ibara ya 13 (6)b kinazuia mtu kuhesabika Ana hatia kabla mahakama haijamwona Ana hatia,wakipata wakili mzuri hawana hatia hawa jamaa japo wamenikera
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.