Tony Yeyo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 723
- 544
ndo mana nakupendaga wwNdivyo nilivyo.
ndo mana nakupendaga wwNdivyo nilivyo.
Wacha we!!!!!ndo mana nakupendaga ww
sana sio kidogo…mpaka kuku wanaona wivuWacha we!!!!!
Sawa sawa!!!!!sana sio kidogo…mpaka kuku wanaona wivu
basi mchana mwema na kalibu kula wali na maharageSawa sawa!!!!!
Thx, karibu ugali dagaa.basi mchana mwema na kalibu kula wali na maharage
Thx, karibu ugali dagaa.
1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana)
2. Unajiandaa kwenda kazini unakuta, nguo zishapigwa pasi
3. Unarudi jioni unakuta anakuvua soksi acha tu raha xanaaa!
4. Umejipunzisha kwenye kochi au Au kitandani mara kakukalia Mgongoni anakufanyia masaji Mgongoni, unaishia kusema "thanks baby".
5. Kila anachotaka kufanya kujiendeleza anakuambia.
6. Anapenda ndugu zako.
7. Anakupa moyo kwenye wakati mgumu (anakwambia baby hayo ni maisha tu,usijali utafanikiwa tu)
8. Anajua unataka nn na kwa wakati gani.
9. Hana tabia ya uchoyo na umbea
10. Anakukumbusha usome Neno la Mungu
Kumi kwa mmoja1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana)
2. Unajiandaa kwenda kazini unakuta, nguo zishapigwa pasi
3. Unarudi jioni unakuta anakuvua soksi acha tu raha xanaaa!
4. Umejipunzisha kwenye kochi au Au kitandani mara kakukalia Mgongoni anakufanyia masaji Mgongoni, unaishia kusema "thanks baby".
5. Kila anachotaka kufanya kujiendeleza anakuambia.
6. Anapenda ndugu zako.
7. Anakupa moyo kwenye wakati mgumu (anakwambia baby hayo ni maisha tu,usijali utafanikiwa tu)
8. Anajua unataka nn na kwa wakati gani.
9. Hana tabia ya uchoyo na umbea
10. Anakukumbusha usome Neno la Mungu
Aiseeee,watu mnafundishwa duty of care ILA kuelewa hamtaki!!!mpewe taaluma ipi sasahyo namba moja itoe maana nina imani una mikono ya kubeba ndoo ya maji kama huwezi weka bomba ndani! hyo utaipata endapo wewe ni mlemavu
hizo zingine za kawaida kabisa
1) na wewe huwa unawahi kuamka kumuwekea baby wako maji?1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana)
2. Unajiandaa kwenda kazini unakuta, nguo zishapigwa pasi
3. Unarudi jioni unakuta anakuvua soksi acha tu raha xanaaa!
4. Umejipunzisha kwenye kochi au Au kitandani mara kakukalia Mgongoni anakufanyia masaji Mgongoni, unaishia kusema "thanks baby".
5. Kila anachotaka kufanya kujiendeleza anakuambia.
6. Anapenda ndugu zako.
7. Anakupa moyo kwenye wakati mgumu (anakwambia baby hayo ni maisha tu,usijali utafanikiwa tu)
8. Anajua unataka nn na kwa wakati gani.
9. Hana tabia ya uchoyo na umbea
10. Anakukumbusha usome Neno la Mungu
1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana)
2. Unajiandaa kwenda kazini unakuta, nguo zishapigwa pasi
3. Unarudi jioni unakuta anakuvua soksi acha tu raha xanaaa!
4. Umejipunzisha kwenye kochi au Au kitandani mara kakukalia Mgongoni anakufanyia masaji Mgongoni, unaishia kusema "thanks baby".
5. Kila anachotaka kufanya kujiendeleza anakuambia.
6. Anapenda ndugu zako.
7. Anakupa moyo kwenye wakati mgumu (anakwambia baby hayo ni maisha tu,usijali utafanikiwa tu)
8. Anajua unataka nn na kwa wakati gani.
9. Hana tabia ya uchoyo na umbea
10. Anakukumbusha usome Neno la Mungu
Huo lazima utakua mchepuko!!1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana)
2. Unajiandaa kwenda kazini unakuta, nguo zishapigwa pasi
3. Unarudi jioni unakuta anakuvua soksi acha tu raha xanaaa!
4. Umejipunzisha kwenye kochi au Au kitandani mara kakukalia Mgongoni anakufanyia masaji Mgongoni, unaishia kusema "thanks baby".
5. Kila anachotaka kufanya kujiendeleza anakuambia.
6. Anapenda ndugu zako.
7. Anakupa moyo kwenye wakati mgumu (anakwambia baby hayo ni maisha tu,usijali utafanikiwa tu)
8. Anajua unataka nn na kwa wakati gani.
9. Hana tabia ya uchoyo na umbea
10. Anakukumbusha usome Neno la Mungu
Uchafu mtupu Tu huu1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana)
2. Unajiandaa kwenda kazini unakuta, nguo zishapigwa pasi
3. Unarudi jioni unakuta anakuvua soksi acha tu raha xanaaa!
4. Umejipunzisha kwenye kochi au Au kitandani mara kakukalia Mgongoni anakufanyia masaji Mgongoni, unaishia kusema "thanks baby".
5. Kila anachotaka kufanya kujiendeleza anakuambia.
6. Anapenda ndugu zako.
7. Anakupa moyo kwenye wakati mgumu (anakwambia baby hayo ni maisha tu,usijali utafanikiwa tu)
8. Anajua unataka nn na kwa wakati gani.
9. Hana tabia ya uchoyo na umbea
10. Anakukumbusha usome Neno la Mungu