Nina tv flat LED SINGSUNG imevunjika kioo, nimetafuta kioo kingine kwa huku Mbeya imeshindikana, kwa yeyote anayeweza kunisaidia hata kwa information napataje kioo hicho ili niweze ku replace tafadhali.
Nianze kuwapa pole kwa jukumu kubwa la kutoa elimu na ushauri juu ya afya zetu, ahsanteni sana.
Kwa muda mrefu nimeishi bila ukucha wa kidole kikubwa cha mguu wangu baada ya kuathiriwa kwa fangasi, kiasi cha kunikosesha raha ya kuvaa viatu vya wazi (open shoes)! Naomba kujua kama kuna...
Mlinitaka niwa PM namba kadhaa kwa tatizo ninaloripoti Mara kwa Mara but hakuna hatua iliyofuata baada ya hapo, hivi tatizo ni nini? tutafutieni ufumbuzi wa tatizo hili ni serious tatizo! au kama kuna njia nyingine ya kuripoti tatizo nijuzeni nifuate hatua hizo kuliko shida zinazoendelea! au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.