Wakuu, ni kama mwezi mmoja sasa hivi SINZA hatupati umeme.Wanakata saa tatu asubuhi na kurudisha saa moja jioni.Wakati mwingine hukata hata saa moja usiku na kurudisha usiku wa manane kama saa nane hivi.
Kweli tumechoka sasa na tunapata hasara sana majumbani na katika biashara zetu.
Hebu...
Wakuu,
Je naweza tune station gani niweze pata bunge live sasa hivi.Najaribu kwa neema radio ipo ila inasikika kwa taabu mno.Hata kama ni through internet nayo ni poa.
Hivi hiyo misikiti mnayokwenda kuswali ndo pumba hizo mnazofundishwa?
Jitahidini nyinyi na mashehe wenu pia mwende shule japo kwa kufanya hivyo mtaiokoa dini hii.Hebu twambie kama nyerere hakutaifisha shule za wakatoliki, je ni shule za akina nani alitaifisha?je ni za waislam?
Nyinyi mnapenda...
Hakikisha anaweka kakipande cha Tangawizi iliyomenywa maganda mdomoni.asitafune bali awe anameza mate tu.Afanye hivyo ikikaribia ule muda kikohozi kinapo anza.Anaweza akalala nayo ikiwa mdomoni.Hiyo inasaidia sana
Star TV tunawaomba tuweze kuwaona tena kwenye EASY TV maana tumewamiss sana toka mjitoe kule.Kweli hamna mpinzani kwenye NEWS hapa TZ hasa kipindi cha Tuongee asubuhi.Pia ITV na EATV naona ni kama wiki moja sasa hamuonekani kwenye EASY TV.Please fanyeni kila liwezekanalo kurudi.Pia kuna baadhi...
Kumbe yule aliyechora katuni za kuonyenya katika bunge la TZ akina serukamba wanakojoa bungeni ,chupi zimeanikwa na watu wanakunywa pombe ni sawa kabisa
Umenena vizuri.Alimsamehe ndio maana alimruhusu pia kutumia jina lake.Na pia ndo maana katika baadhi ya shughuli za kifamilia amewahi winie kuonekana.Kama kiongozi wa nchi kuna baadhi ya mambo hayapaswi hata kutajwa wala kusikika kwako achilia mbali kuyafanya.Yule mama alikuwa anatembea hata na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.