kufikirika
Member
- Nov 22, 2013
- 39
- 17
Vita ipi
Sio mbabe wa vita bali bwana wa vita
Vita ipi
huyo jamaa kwa visasi mwisho, ni kati ya marais watakao ondolewa madarakani kwa kuuwawa. ni mbabe mno!
Kagame ni baadhi ya marais wachache na makini sana ktk bara la africa. Na kagame angefaa kuwa rais wa africa hata japo kwa mwaka tu mgeona namna ambavyo africa ingesonga mbele kimaendeleo. Sera ya kagame ni kwamba mali za waafrica zinatakiwa ziijenge africa na siyo ughaibuni. Suala la kualikwa kwenda ughaibuni kusherekea xmas siyo deal na huku wananchi wako wanapata taabu, wengine wanabakwa, njaa, vikongwe wanakufa kwa kukosa matunzo, watumishi kodi juu nk. Inasikitisha sana. Kagame juu we ni jembe na kagame anafahamu kulinda usalama wake ni jasusi makini kama alivyowahi rais bushi kwenda iraq wakati wa vita vya kumuondoa sadaam hussein. Nimeipenda sana safari ya kagame nchini africa kusini. Aliyefiwa si zuma ni familia ya mandela na wanatakiwa kupewa pole.
hongera kwa maelezo yako yaliyojaa weledi mkubwa
hey ..kuna weledi gani hapa ndugu?nina wasi wasi unaposikia rwanda hakuna kijijini wala kigali.....kama ni huduma za jamii ni nchi nzima...na nisichojua ni kwanini unamsifia eagle kwa kusema tz ni kubwa watu wengi ndo maana huwezi kuilinganisha na Rwanda...hiyo ni akili kweli?china ina ukubwa gani?watu ni 1.3bln alafu rwanda population siyo 6m ni almost 12m...acha kusifia upuuzi
Marafiki wengi wa Kagame sasa hivi ni watu binafsi siyo maraisi.Hata akisafiri nje ya nchi anakutana na watu binafsi zaidi.Wageni maarufu wanaotembelea Rwanda si viongozi wa Nchi ni watu binafsi kama ma-cerebrities.Hatembelewi na maraisi.Raisi anayeweza mwita rafiki ni museveni na Rafiki wa mashaka Kenyatta.
Hii inaamaanisha kitu kimoja tu FAILED FOREIGN POLICY FOR RWANDA.Raisi asiye na marafiki maraisi ujue shida ipo mahali.
umekurupuka...Kagame had his to say "I am glad to visit my brother President Macky Sall with whom we have worked closely. We discussed bilateral issues and areas of mutual interests and cooperation. This also gave me an opportunity to invite President Macky Sall to Rwanda"kwa mtazamo wako....Unawajua wababe wa vita, wababe wa vita ni wale walioko msituni kudai haki ya wananchi na si haki ya kundi flani kama alivofanya Kagame na anavoendelea kufanya kwa kukanyaga miguuni demokrasia. yule ni insurgency
Marafiki wengi wa Kagame sasa hivi ni watu binafsi siyo maraisi.Hata akisafiri nje ya nchi anakutana na watu binafsi zaidi.Wageni maarufu wanaotembelea Rwanda si viongozi wa Nchi ni watu binafsi kama ma-cerebrities.Hatembelewi na maraisi.Raisi anayeweza mwita rafiki ni museveni na Rafiki wa mashaka Kenyatta.
Hii inaamaanisha kitu kimoja tu FAILED FOREIGN POLICY FOR RWANDA.Raisi asiye na marafiki maraisi ujue shida ipo mahali.
Kagame ni baadhi ya marais wachache na makini sana ktk bara la africa. Na kagame angefaa kuwa rais wa africa hata japo kwa mwaka tu mgeona namna ambavyo africa ingesonga mbele kimaendeleo. Sera ya kagame ni kwamba mali za waafrica zinatakiwa ziijenge africa na siyo ughaibuni. Suala la kualikwa kwenda ughaibuni kusherekea xmas siyo deal na huku wananchi wako wanapata taabu, wengine wanabakwa, njaa, vikongwe wanakufa kwa kukosa matunzo, watumishi kodi juu nk. Inasikitisha sana. Kagame juu we ni jembe na kagame anafahamu kulinda usalama wake ni jasusi makini kama alivyowahi rais bushi kwenda iraq wakati wa vita vya kumuondoa sadaam hussein. Nimeipenda sana safari ya kagame nchini africa kusini. Aliyefiwa si zuma ni familia ya mandela na wanatakiwa kupewa pole.
Hili jembe la Africa tuache chuki zisizokuwa na maana.
Personally nimetembelea nchi yake on official business mtu asikudanganye jamaa wameibadilisha sana nchi yao.Actually naweza kusema wanakimbia wakati tutembea na hawana natural resources zozote uki compare na zetu.
Jamaa ana vision kubwa, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Haya mabeef yakijinga yanatusaidia nini sisi jamii ya manyani? kwanini sisi manyani hatupendani? Haya manyani yanayojaribu kujipatia ndizi kwenye nyika ya congo drc kwanini tunayaadhibu ilhali ndizi yote zinapelekwa Ulaya kwa msaada wa Manyani wenzao? Kweli Manyani hatuna akili... No wounder kila kitu kwa Msaada wa watu wa ....Malizia jibu mwenyewe...
Genocide ndio hii ya #operationtokomeza imeua na kutesa watu kama wanyama So Sad Nigga naomba tuyaache ya Kagame tuje ya Kagasheki .....b**h a**
kwa taarifa yako operation tokomeza ujangili imeahirishwa tu watusi lazima mwondoke kwenu na mifugo yenu
naipenda sana rwanda jamaa wako very strick..ukiambiwa endesha speed 40km/h, ukivuka inakula kwako, ukifanya ujanja ujanja ktk kulipa kodi inakula kwako....hawa jamaa hawana utani bana!
Walikuwa wanawaibia Wakongo kupitia M23. Sasa hadithi imeisha. Hata ningekuwa mimi lazima ningechukia kwani M23 ambayo ilikuwa chanzo changu cha mapato imemalizwa na TZ, SA na Malawi.
Umetisha sanaaa Wabongo wanamkubali kiaina ndio maana wnaweza hata kumuandika kama kaua je kuna Mtz aliuwawa kule...???Wabongo bana
Tabia hii ndiyo itakayowafanya mpatwe na genocide nyingine
Mbelgiji aliwaconvince kuwa watutsi ni wazungu, sie wengine manigga, ndio maana ana attitude hiyo huyo cockroach.