Kutema mate Bungeni

Kutema mate Bungeni

Kwanza ni uchafu wa hali ya juu yaani anatema mate ndani? Chini? Aibu I guess he does the same in his home
measkron sijui aliyekaa jirani yake alijisikiaje[MENTION][/MENTION]
 
Last edited by a moderator:
kutema mate tena yanayonuka "ni totally kufilisika kiakili na ni mambo ya "KIKE",. `MWANAUME MKAMILIFU ATAONGEA TU siyo "tpuee...!tpuee...!PFyuuuuuz.
 
kutema mate tena yanayonuka "ni totally kufilisika kiakili na ni mambo ya "KIKE",. `MWANAUME MKAMILIFU ATAONGEA TU siyo "tpuee...!tpuee...!PFyuuuuuz.
Kutema mate ni kama kujsaidia kwa mdomo tu
 
CCM bana hawaishi vioja, miaka ya 1980s kulikuwa na mbunge mmoja mlevi sana, inasemekana alikojoa 'ramani ya afrika' bungeni huku akimtaka waziri mkuu aifanyie 'map reading'.
 
Dah!!! anatema mate mjengoni!!!! ana asili ya uchafu huyu!!!! Khaaa!!!!
 
Kumbe yule aliyechora katuni za kuonyenya katika bunge la TZ akina serukamba wanakojoa bungeni ,chupi zimeanikwa na watu wanakunywa pombe ni sawa kabisa
 
Chezea mwigulu,
hatua ijao ni kujibu hoja anapomaliza lazima aisindikize kwa kujamba! DU...
 
Aisee wee kama mimi hahahahah lol!!! nakumbuka niliwahi kunasa kwenye lift kama one hour pale jengo refu Lumumba nilikuwa natoka TPDC bahati nzuri tulikuwa wanne au watano. Kulikuwepo na mmakonde mmoja basi akatema mate ndani ya lift acha nimjie juu na hapo ndio kama dakika 5 tu zimepita tangu tunase. Nadhani kwa kipindi cha one hour kungekuwa na dimbwi la mate mle kwenye lift dah!!! Baada ya kumjia juu hakudondosha hata tone la udenda...😛uke:😛uke:😛uke:

grrrrrrrr! Nasty!!! yaani ningemtwanga ngumi ya pua Inkoskaz
 
Back
Top Bottom