Dijovisonjn
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 466
- 125
- Thread starter
- #21
CHADEMA ina damu ya Zitto na Zitto anadamu ya CHADEMA Zitto hawezi kutoka kirahisi na kuwaachia chama wahamiaji waliojiunga na chadema baada ya kukosa fursa CCM
Kwa hiyo? Kama yeye ni zaidi ya CDM na ana uhakika kaonewa, si atoke CDM? Pandikizi lenu limeshtukiwa ona mnavyohangaika.